Ambwene Mwasonge amefanikiwa kupata mtoto wa kike

Ambwene Mwasonge amefanikiwa kupata mtoto wa kike

Wengi ni washamba na malimbukeni. Ukiwa ndio mara yako ya kwanza kuingia JF unaweza ukachanganyikiwa. Jamaa ni much know lakini upstairs ni empty na wana fake maisha kama ambavyo wana fake ID.
Lakini huu mtandao ulikuwa mzuri sana back in the days, binafsi nilijiunga humu kwa kuvutiwa na comments na nyuzi za members.

Hao wamehangaika kupata mtoto kwa muda mrefu toka walipoona, leo wamepata mtoto mtu anacomment such negative comment kweli!? Halafu tu hawamjui huyo binti wasifikiri ana tabia za hovyo kama za wanawake zao huko.
 
Lakini huu mtandao ulikuwa mzuri sana back in the days, binafsi nilijiunga humu kwa kuvutiwa na comments na nyuzi za members.

Hao wamehangaika kupata mtoto kwa muda mrefu toka walipoona, leo wamepata mtoto mtu anacomment such negative comment kweli!? Halafu tu hawamjui huyo binti wasifikiri ana tabia za hovyo kama za wanawake zao huko.
Binti wa gogoni huyo...hana makuu
 
Hizi ni comments upande wa facebook
Screenshot_20231025-221717.png
 
samahanini jaman ivi kuhangaika kupata mtoto ndio mnaangaikaje yani..?
 
Back
Top Bottom