Ambwene Mwasongwe: Mwanamuziki bora kabisa wa Injili ambaye hatajwi sana

Ambwene Mwasongwe: Mwanamuziki bora kabisa wa Injili ambaye hatajwi sana

Nadhani nimechelewa sana kujua nyimbo za huyu fundi wa nyimbo za injili Ambwene Mwasongwe,jamaa anaimba vitu vinatouch kinyama

Nasikiliza hapa wimbo unaitwa CHOZI LA HAKI.

Huu wimbo ni touching sana
naombeni kwa aliyenazo zingine zote,au hata kama zipo za kulipia nitalipia nimchangie.
Sio mtu wa kusaka umaarufu kwenye media na mapromota uchwala na wapo wengi tu, mtafute John Lissu, Sedekia nk.

Vv
 
Huyu ni Malaya sana nimemkamata mara mbili. Wanajificha kwenye dini. Acheni hizi promo za kijinga.
mimi hayo siyajui,nazungumzia nyimbo zake,mengine ni maisha yake.
 
Kafungue Uzi wako ukielezea haya,mbona binadamu mnavuka mipaka ya haya na aibu???
Hapa ni public wewe. Ungepost kwenye blog yako basi. Humu kubali yote matamu na machungu. Ukweli ndo huo.
 
Hapa ni public wewe. Ungepost kwenye blog yako basi. Humu kubali yote matamu na machungu. Ukweli ndo huo.
Public na ndio kaanzisha post yake inayohusu kumsifia nyimbo zake,kama unamfahamu ni muasherati na una evidence fungua post yake.
I don't have blog any way...
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
amekwishaoa mwaka jana miezi ya kumi hivi.
22d2c926c75b1b6e57c6b4e668f10260.jpg
2c18b58e525c1ba8493b00bd57953d13.jpg
ce06e4fbb01890dd644873064e5e8235.jpg
e4fc4c4c69395e1e45e08030c0c8b432.jpg

tena jamaa kavuta chombo kimoja matata sana.
 
Yaani mTanzania kitu kikimfurahisha yeye basi yeye anahisi hicho kitu kinawafurahisha
Dunia nzima......

Hawajui kuwa kila mtu ana utashi wake.....

Kibaya zaidi wanaotoa kauli kama hizi huwa wana egemea kwenye hisia zao zaidi bila ya kufanya research ya aina yoyote ile....
 
Yaani mTanzania kitu kikimfurahisha yeye basi yeye anahisi hicho kitu kinawafurahisha
Dunia nzima......

Hawajui kuwa kila mtu ana utashi wake.....

Kibaya zaidi wanaotoa kauli kama hizi huwa wana egemea kwenye hisia zao zaidi bila ya kufanya research ya aina yoyote ile....
mkuu hapa unataka kusemaje
 
Back
Top Bottom