Sawa lakini kwa nilivyosoma soma ni kazi sana kutengenasha na kupata ubora wa kwa kuongelea kitu kimoja
Kwa performnce nzuri ya graphics AMD inabidi utumie ATI graphics card
Kwa perfomrmannce nzuri ya graphics kwenye intel inabidi utumie Nividia
Kwa hiyo mtu akija kukupa ushauri kuwa INteli CPU ni bomba na ATI ni bomba anaweza kuwa yuko sahihi lakini combination ya ATI na Intel kwenye motherboard moja haiji na total perfomance nzuri.
Ndio maana hakuna jibu sahihi moja kwa moja. Usiende dukani ukanua CPU bora Ukanunua Graphic cad bora, Ukanunua Memory Bora. Unaweza kuwa na vitua bora lakini vikshindwa kufanya kazi kwa pamoja. Inategemeana.
ONA Hii COMPUTER YANGU İPO BOMBA MAELEZO YAKE NI HAYA HAPA
OS Name Microsoft Windows 7 Ultimate
Version 6.1.7600 Build 7600
Other OS Description Not Available
OS Manufacturer Microsoft Corporation
System Name MZIZIMKAVU-COMPUTER
System Manufacturer BIOSTAR Group
System Model P4M900-M7 FE
System Type X86-based PC
Processor Intel(R) Pentium(R) 4 CPU 3.06GHz, 3066 Mhz, 1 Core(s), 1 Logical Processor(s)
BIOS Version/Date Phoenix Technologies, LTD 6.00 PG, 2/24/2009
SMBIOS Version 2.4
Windows Directory C:\Windows
System Directory C:\Windows\system32
Boot Device \Device\HarddiskVolume1
Locale United States
Hardware Abstraction Layer Version = "6.1.7600.16385"
User Name MASTER-COMPUTER\MASTER
Time Zone GTB Standard Time
Installed Physical Memory (RAM) 3.00 GB
Total Physical Memory 3.00 GB
Available Physical Memory 1.17 GB
Total Virtual Memory 6.00 GB
Available Virtual Memory 3.84 GB
Page File Space 3.00 GB
Page File C:\pagefile.sys
ninatumia Intel na Graphic pia ya ATI Radeon 250 MB na hakuna wasiwasi ninaweza kucheza Game yoyote ile