Wakuu,
Kuna jamaa angu alimtokea dada mmoja kitaani kwetu toka mwezi wa saba. Kamfatilia wee eti leo ndio kamwambia atampa jibu tar 24 mwezi huu.
Je ni haki kweli kumtesa mwenzio miezi yote hiyo? Nawauliza nyie kina dada, kuweni na huruma jamani Ebro.!
Kuna jamaa angu alimtokea dada mmoja kitaani kwetu toka mwezi wa saba. Kamfatilia wee eti leo ndio kamwambia atampa jibu tar 24 mwezi huu.
Je ni haki kweli kumtesa mwenzio miezi yote hiyo? Nawauliza nyie kina dada, kuweni na huruma jamani Ebro.!