- Thread starter
- #41
Kwanza miezi5 naona michache sana.... Nyie dkk2 wazuri dkk3 wabaya. Hata asifanye haraka dada wawatu
Hivi uliyenae ilichukua muda gani kumkubali???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza miezi5 naona michache sana.... Nyie dkk2 wazuri dkk3 wabaya. Hata asifanye haraka dada wawatu
Hivi kuna watu bado wanasubirishwa kiasi hiko!!!
Kwa nn usingemshauri jamaa ako asome hata full secretarial course angekuwa ka-graduate.
Jamani mbona huyo kapewa mda mchache, nenda kafatilie msichana wa kipemba miaka 2 hujapata jibu la kuridhisha.
Hivi uliyenae ilichukua muda gani kumkubali???
Watoto bwana,...kwani lazima mtamkiwe kwa mdomo eti ..."NDIYO NAKUBALI KUWA GF WAKO"???
Kama kusoma hamjui, hata kuangalia picha jamani? .... Toka July hadi December, kwani kalima shamba la mahindi na sasa anasubiri yakomae?
Ndiyo maana mnalizwa na kutujazia mada za kitoto jamvini....
Wananichosha sana hawa wajukuu!!
Wakuu kuna jamaa angu alimtokea dada mmoja kitaani kwetu toka mwezi wa saba. Kamfatilia wee eti leo ndio kamwambia atampa jibu tar 24 mwezi huu.
Je ni haki kweli kumtesa mwenzio miezi yote hiyo??? Nawauliza nyie kina dada, kuweni na huruma jamani Ebro... !!!
Wakati huo hela na offer anapokea au nazo zinasubiri?!
Mwambie ampeleke uwanja wa taifa
Ngoja nikamuulize hebu
Teh teh hukuandika ktk diary
Hata siandikagi
HAPO BIla Shaka Atakubaliwa na Kutokana na "UCHENJEU" Wake Ataona Amepata Kumbe Watoto Wa Mjini Tunasema Amepatikana, Kwani Huyo Demu Bila Shaka Anataka Amgeuze Jamaa ATM yake ya Sikukuu za Noeli, Boxing Day na Mwaka Mpya na Baada Ya Hapo Nadhani Jamaa Yako Ataisoma Namba Kulikobobea Kwani Nina Uhakika Papuchi Ataisikia Kwa Jirani Tuu.
Kusema kweli dada ajampnda jamaa make na mie nina mtu kila akikumbushia ombi lke namwambia asubili ctaki kumpa jibu la hapana ili asijisikie vibaya so namvutia mda ili ajiongeze
Hebuu mkuu njoo utupe feed back..!!
Leo ndo leo jamaa anajiandaa wanatoka jioni so just wait mkuu nitaleta mrejesho
Mrejesho:Ameahidi kumpa jibu tar 24 mwezi huu
Hatimae jamaa kakubaliwa ila sasa kaspend pesa nyingi sana kwa siku ya leo. Japo binti kamkubalia ombi lake ila naona kabisa hawawezi dumu kwani huyu dada anaonyesha anapenda sana maisha ya juu.
Na bado kesho anataka kutolewa tena ili wakale sikukuu ya krismass, sijui kama watafika hata tarehe 3/2016. Sio kwamba nawaombea mabaya ila ni kwa mtizamo wangu