Amebadilika siku chache kabla ya mahari

Wewe dada nahisi nakufahamu lakini potelea mbali

Ni hivi kijana muoaji hawezi kuja hapo kubargain mahari, na baba yako anataka muoaji aongozane na Baba yake

Ambapo baba wa muoaji alifika na akaishia njiani kusubiri kama mtabadili mawazo na kumpokea sasa

Mzee kaamua kuondoka kwenda kuendeleza miradi yake na kasema Dunia imezaa hawawezi kosa mwanamke
 
Dada hapo hujaelewa nini tena?
Unataka kuolewa na mtu asiyekuhitaji?
Kama umeshaona mahusiano yamevurugika na kijana hana mpango tena wa kutaka kuja kukuoa, maana yake hakuna tena ndoa. Usilazimishe sana akwambie kila sababu, vingine ni siri za moyo wake au siri za familia yake, usichimbe sana.

Nini ufanye sasa?
Jipange kutafuta mahusiano mapya na kijana mwingine, huyo sio wa kwako tena.

Note
Kama huyo kijana alishakupiga miti mara kadhaa, kuna uwezekano mkubwa sana ikawa ndio sababu ya kukuacha. Usiniulize kwa nini.
 
Mungu akubaruki. Hili ni sawa na jambo usilolijua...
 
Shukrani. Point taken
 
Hitimisho hili limenifunza kwamba watu wanabadilika muda wowote Dada yangu. Huyu kijana huwezi kumdhania. Sikutegema kwamba tungefikia mwisho wa namna hii.
Hao ndio wanaume. Sasa tulia kabisa unaweza kuta alikuwa anawachanganya wote. Kwa sasa kubaliana na hiyo dissapointment but usikurupuke kuingia kwenye mahusiano mengine.

By the way mie ni kaka yako😜
 
Wameachwa wengi kwa style hio... Shukuru unapumua
 
Na kwanini mlimwambia alipe mahari wakati mzigo ameshautafuna na kuutumia kwa miaka minne mfululizo?

Hivi zama hizi bado kuna wanaume wanaopapatikia kuoa?
Sasa akitokea huyo mwanaume wa kutaka kuoa bado watu wanamdai alipe mahari, how? Akisepa mnalaumu.

Badilikeni jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…