Amebaki Mwenyekiti Freeman Mbowe pekee yake kusema kuhusu CHADEMA

Amebaki Mwenyekiti Freeman Mbowe pekee yake kusema kuhusu CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Friends ladies and gentlemen...

I can confirm to you without fear of contradictions, muungwana anaandaa madini na nondo za maana sana right now. Hakuna mkuu wa taasisi muerevu, anaweza kukaa kimya katika hali hii. Hayapo duniani.

Muda wowote tu kuanzia sasa Lazima muungwana, statesman, mwamba wa kaskazini ataibuka na, ama kuvuruga na kukoroga mambo zaidi, kuchochea vita au kutuliza ghasia, malumbano, makabiliano ya vita vya maneno miongoni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema, get ready.

Lazima aje kusema.

Nasisitiza Lazima chairman Taifa atasema yote muda mfupi sana ujao..

Na, akiibuka na press conference yake wakati wowote kuanzia sasa, unadhani atakua upande wa nani miongoni mwa wanaochapana vita ya maneno?

Je, bado atakua na ustahimilivu na subra kama kiongozi mkuu wa chama?

Soma Pia: Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa

Unadhani nani mchokozi anaestahili kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA haraka zaidi ili angalau kunusuru chama kupasuka zaidi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Acha uongo. Taarifa yoyote ya Chama cha Siasa inatakiwa itokane na vikao au mikutano rasmi na si Mtu mmoja kuita waandishi wa habari.
 
Acha uongo. Taarifa yoyote ya Chama cha Siasa inatakiwa itokane na vikao au mikutano rasmi na si Mtu mmoja kuita waandishi wa habari.
Gentleman, are you okay?

kwahiyo taarifa ya Tundu Lisu Juzi singida, na ile ya Lema na Kigaila Arusha Jana, ilitokana na vikao vya chama au ni maoni Yao binafs?🤣
 
Kwani kule ccm makamu mwenyekiti anapatikana lini au hawoni wanampa majukumu mazito mwenyekiti wa chama?. Au huko hakukuhusu?
 
Gentleman, are you okay?

kwahiyo taarifa ya Tundu Lisu Juzi singida, na ile ya Lema na Kigaila Arusha Jana, ilitokana na vikao vya chama au ni maoni Yao binafs?🤣
Hao hawajaishutuma Chama chao. Ila kuishutumu Chama chako nje ya vikao rasmi vya Chama ni kukiuka maadili ya Viongozi wa vyama vya siasa.
 
Hao hawajaishutuma Chama chao. Ila kuishutumu Chama chako nje ya vikao rasmi vya Chama ni kukiuka maadili ya Viongozi wa vyama vya siasa.
Gentleman,
hebu elezea kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau wa JF 🐒
 
Kwani kule ccm makamu mwenyekiti anapatikana lini au hawoni wanampa majukumu mazito mwenyekiti wa chama?. Au huko hakukuhusu?
zingatia hoja gentleman,

au ingependeza zaid ukaanzisha uzi mahususi kulingana na maoni yako, right?🐒
 
Gentleman, are you okay?

kwahiyo taarifa ya Tundu Lisu Juzi singida, na ile ya Lema na Kigaila Arusha Jana, ilitokana na vikao vya chama au ni maoni Yao binafs?🤣
Tatizo la Lissu ni kusikiliza mambo ya pembeni na siyo vikao rasmi, hususani wana harakati wenzake, akina Dr Silaa na kundi lake, wenye nia kuiua Chadema kwa maslahi ya CCM.
 
Tatizo la Lissu ni kusikiliza mambo ya pembeni na siyo vikao rasmi, hususani wana harakati wenzake, akina Dr Silaa na kundi lake, wenye nia kuiua Chadema kwa maslahi ya CCM.
Gentleman,
mwanzo wa hoja yako nimekuelewa ila mwishowe sijaelewa 🐒
 
Hawa ni wasindikizaji kwenye hiki chama,akishaongea Lema,Mrema na Mbowe hapo kuna nani tena wa kuongea ,jana walijifanya kumtuma sijui anitwa nani ili tu kuzima so.
kumbe?🤣
 
Tatizo la Lissu ni kusikiliza mambo ya pembeni na siyo vikao rasmi, hususani wana harakati wenzake, akina Dr Silaa na kundi lake, wenye nia kuiua Chadema kwa maslahi ya CCM.
Chama cha Siasa hakiwezi kufuata mambo ya club house badala ya taratibu zake za vikao rasmi vya Chama.
 
Kubalance mizani muhimu. Kwan ukiwa uko haja kubwa ukashikwa na kikohozi huwezi kohoa kisa tu upo kwenye haja kubwa?.
 
Back
Top Bottom