Amebaki Mwenyekiti Freeman Mbowe pekee yake kusema kuhusu CHADEMA

Amebaki Mwenyekiti Freeman Mbowe pekee yake kusema kuhusu CHADEMA

Lissu afutwe uanachama,ama aenguliwe kwenye nafasi yake.
Mbona CCM imeweza kusonga mbele bila kuwa na Makamu M/kiti.
 
Namchukia sana Lissu kwa sababu ni mropokaji, mkurupukaji,Mjivuni na mtu aliyekosa utulivu wa akili na mdomo wake.hana staha
 
Namchukia sana Lissu kwa sababu ni mropokaji, mkurupukaji,Mjivuni na mtu aliyekosa utulivu wa akili na mdomo wake.hana staha
Kufanya kazi na Lissu yataka moyo.
Ni ana maneno na ubishi si kidogo... Busara kwake ni sifuri kabisa.
 
MBOWE anasema baada ya vikao rasmi kuketi na kutoa maamuzi ya pamoja
 
MBOWE anasema baada ya vikao rasmi kuketi na kutoa maamuzi ya pamoja
Mzee Mbowe pamoja na ukweli ya kwamba hataki wasomi kwenye chama chake hapa kwa Lissu hatathubutu kamwe kumfukuza CDM kwani nyuma ya Lissu kuna waachama ambao ni wengi na wametengwa na wafanya maamuzi toka ukanda wa kaskazini .a
 
Back
Top Bottom