Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Akiwa amesimama kwenye jukwaa katika kituo cha mikutano cha Florida usiku wa uchaguzi, safu ya bendera za Marekani nyuma yake na umati wa watu wenye furaha wakitazama, Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu aliokoa maisha yangu kwa sababu fulani, na sababu hiyo ilikuwa ni kuokoa nchi yetu na kuirejesha Marekani katika ukuu.”

Hii ilikuwa moja ya mada ya kuvutia zaidi ya kampeni yake ya uchaguzi - kwamba alikuwa amechaguliwa na Mungu. Hata kabla ya jaribio la kumuua mnamo Julai 13 huko Butler, Pennsylvania, mamilioni ya Wamarekani tayari walihisi kuongozwa na imani yao kumuunga mkono rais wa zamani, na sasa ajaye.

Wengine walifanya uchaguzi kwa njia isiyo ya kawaida na kumfananisha Trump na mtu anayetajwa katika Biblia.

Mwaka jana, kwenye kipindi cha Kikristo cha FlashPoint, mwinjilisti wa TV Hank Kunneman alielezea "vita kati ya wema na uovu", na kuongeza: "Kuna kitu juu ya Rais Trump ambacho adui anaogopa: kinaitwa upako."

Source: BBC swahili

Ndio Yessu wao?
 
Although Donald J. Trump is not a perfect Christian, but he and Elon Musk respect Christian values, juzi kati alitoa hotuba kuhusu umuhimu wa biblia kweny household za America, na alielezea jinsi gani America imebadilika from kuwa a very Christian country to a pagan country.

Hicho ndo ninachoweza kusema.
 
Although Donald J. Trump is not a perfect Christian, but he and Elon Musk respect Christian values, juzi kati alitoa hotuba kuhusu umuhimu wa biblia kweny household za America.

Hicho ndo ninachoweza kusema.
Kwa hivyo na waislam wakidai Quran itumike itakuwa kosa?
 
Itumike wapi?? Hivi unajua historia ya america? hivi unajua zamani watoto mashuleni vipindi vilikuwa havianzi hadi wasali sala ya bwana.
Historia ya Marekani ilikuwa enzi za ujahili yaa ujinga. Hivi sasa Marekani Waislamu washakuwa wengi, watadai kama biblia itumike na Quran itumike.
 
Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu aliokoa maisha yangu kwa sababu fulani, na sababu hiyo ilikuwa ni kuokoa nchi yetu na kuirejesha Marekani katika ukuu.”
Ni kama Tundu Lissu.

Ni Mungu tu ndiye anaweza kumuokoa mtu katika mazingira hatarishi namna ile.
 
Na zile nywele zake kama kondoo
 
Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Akiwa amesimama kwenye jukwaa katika kituo cha mikutano cha Florida usiku wa uchaguzi, safu ya bendera za Marekani nyuma yake na umati wa watu wenye furaha wakitazama, Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu aliokoa maisha yangu kwa sababu fulani, na sababu hiyo ilikuwa ni kuokoa nchi yetu na kuirejesha Marekani katika ukuu.”

Hii ilikuwa moja ya mada ya kuvutia zaidi ya kampeni yake ya uchaguzi - kwamba alikuwa amechaguliwa na Mungu. Hata kabla ya jaribio la kumuua mnamo Julai 13 huko Butler, Pennsylvania, mamilioni ya Wamarekani tayari walihisi kuongozwa na imani yao kumuunga mkono rais wa zamani, na sasa ajaye.

Wengine walifanya uchaguzi kwa njia isiyo ya kawaida na kumfananisha Trump na mtu anayetajwa katika Biblia.

Mwaka jana, kwenye kipindi cha Kikristo cha FlashPoint, mwinjilisti wa TV Hank Kunneman alielezea "vita kati ya wema na uovu", na kuongeza: "Kuna kitu juu ya Rais Trump ambacho adui anaogopa: kinaitwa upako."

Source: BBC swahili

Ndio Yessu wao?
Suratul Al Ah'Zab 50: Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu
 
Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Akiwa amesimama kwenye jukwaa katika kituo cha mikutano cha Florida usiku wa uchaguzi, safu ya bendera za Marekani nyuma yake na umati wa watu wenye furaha wakitazama, Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu aliokoa maisha yangu kwa sababu fulani, na sababu hiyo ilikuwa ni kuokoa nchi yetu na kuirejesha Marekani katika ukuu.”

Hii ilikuwa moja ya mada ya kuvutia zaidi ya kampeni yake ya uchaguzi - kwamba alikuwa amechaguliwa na Mungu. Hata kabla ya jaribio la kumuua mnamo Julai 13 huko Butler, Pennsylvania, mamilioni ya Wamarekani tayari walihisi kuongozwa na imani yao kumuunga mkono rais wa zamani, na sasa ajaye.

Wengine walifanya uchaguzi kwa njia isiyo ya kawaida na kumfananisha Trump na mtu anayetajwa katika Biblia.

Mwaka jana, kwenye kipindi cha Kikristo cha FlashPoint, mwinjilisti wa TV Hank Kunneman alielezea "vita kati ya wema na uovu", na kuongeza: "Kuna kitu juu ya Rais Trump ambacho adui anaogopa: kinaitwa upako."

Source: BBC swahili

Ndio Yessu wao?
We Kilaza kweli. Una elimu gani dogo?madrasa tu bila shaka.
 
Although Donald J. Trump is not a perfect Christian, but he and Elon Musk respect Christian values, juzi kati alitoa hotuba kuhusu umuhimu wa biblia kweny household za America, na alielezea jinsi gani America imebadilika from kuwa a very Christian country to a pagan country.

Hicho ndo ninachoweza kusema.
Mwamba yupo vizuri sn
 
na waislamu wanamuonaje kwa maana Michigan has the largest muslim community in the US na voted for D.Trump, hapo unasemaje ? ni allah wa muslims pia, au?
 
Trump ndiye King David wa enzi zile Israel, alinusurika attempt nyingi za kumuua.

Punguza chuki ya kidini, ungana naye ktk course, Si kuleta choko choko.
 
Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

Akiwa amesimama kwenye jukwaa katika kituo cha mikutano cha Florida usiku wa uchaguzi, safu ya bendera za Marekani nyuma yake na umati wa watu wenye furaha wakitazama, Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu aliokoa maisha yangu kwa sababu fulani, na sababu hiyo ilikuwa ni kuokoa nchi yetu na kuirejesha Marekani katika ukuu.”

Hii ilikuwa moja ya mada ya kuvutia zaidi ya kampeni yake ya uchaguzi - kwamba alikuwa amechaguliwa na Mungu. Hata kabla ya jaribio la kumuua mnamo Julai 13 huko Butler, Pennsylvania, mamilioni ya Wamarekani tayari walihisi kuongozwa na imani yao kumuunga mkono rais wa zamani, na sasa ajaye.

Wengine walifanya uchaguzi kwa njia isiyo ya kawaida na kumfananisha Trump na mtu anayetajwa katika Biblia.

Mwaka jana, kwenye kipindi cha Kikristo cha FlashPoint, mwinjilisti wa TV Hank Kunneman alielezea "vita kati ya wema na uovu", na kuongeza: "Kuna kitu juu ya Rais Trump ambacho adui anaogopa: kinaitwa upako."

Source: BBC swahili

Ndio Yessu wao?
Hata Samia na Magufuli tumeambiwa walichaguliwa na mungu. Sasa huyo mungu amechagua marais wangapi duniani?
 
Back
Top Bottom