Ameenda wapi huyu Paprika?

Paprika sina hamu nae,aliweka picha ya wanaume wanapumuliana live bila chenga. Kila mtu aka hamaki,ukizingatia nilikuwa ina display juu ya Uzi,watu tukajaribu kupost picha zingine pengine ingetoka haikuwa hivo. Watu wakaita mods waitoe nadhani na wao iliwashinda since mchana mpaka usiku ile picha ilikuwepo,ikabidi niombe mods waufunge ule Uzi. Ukafungwa na yeye akalambwa ban nadhani ni extended ban au anasubiri kikao cha bodi ya shule ajadiliwe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi alikiuka sheria za jukwaa na kumwaga mambo ya ajabuajabu mbele ya kadamnasi?..hayo mathread sikuyaona mimi.nilidhani mtoto wa watu kafikwa na majanga ila kama yuko disciplinary baasi.
 
hivi alikiuka sheria za jukwaa na kumwaga mambo ya ajabuajabu mbele ya kadamnasi?..hayo mathread sikuyaona mimi.nilidhani mtoto wa watu kafikwa na majanga ila kama yuko disciplinary baasi.
Wala sio majanga ya bahati mbaya ni ya kujitakia. Watu wengi waliouona ule Uzi hawakuamini...wengi walilaana. Kwa maana ile picha inaonyesha huku kwa chini mwanaume akitoa tigo wamepanua mapaja ndio ikapigwa picha. Mishedede yote inaonekana na mshedede mwingine uliozama kwenye tigo unaonekana vizuri tu. Alidhamiria aiseee,was a shame.
 
hahaaa..unavyoelezea picha naijenga kichwani..ila ni picha mbovu aisee..pole kwa uzi wako kuharibiwa
 

Duhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mdomowangu umebaki wazi...[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
Niliiona Mkuu, sema ile siku niliamua kukausha tu maana zile mambo zina shusha heshima aiseeeee
Sanaaa. Nilijisikia vibaya mbaya yaani. Nikawaambia mods ufungwe tu ule Uzi. Halafu ulikuwa wa kuelimisha yaani mzuri tu,akaja uharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…