Amefanana na rais mstaafu!!

Amefanana na rais mstaafu!!

Mzee ngoma hizo huziwezi!waachie vijana wanaojua kuzicheza!
 
Vazi la bibie linanikumbusha wimbo " Watoto wa nyumba zote .......... tuwalilie wazazi ...... Viwanda vyote vya nguo vitakapofungwa ...........:
 
Mh sasa hiki kizee hata kikipewa si kitakufa?Kitaweza kweli kulibeba hilo zigo?
 
Kweli mjini hakuna wazeee, ila kuna vijana wazamani, kula rumba mzee, raha jipe mwenyewe, akikupa mwenzio atakusimangaaaa!!!
 
attachment.php
 
Acha mzee asawazishe lost time za enzi zake! ukute alikuwa busy sana kabla ya kustafu hivyo anafidia
 
Dingi nimempenda kwa choice zake, ananikumbusha ule usemi ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona
 
mzee time ya ujana alikuwa busy na shule, kazi, safari,majukumu,kujenga,kusomesha,extended family,....wacha amalizie life span yake !!! tehe tehe teehh
 
'' if dem tink me a go grannie?

''seh sup'm Yutes! ''

''MaN NaH go Oldah''
 
Back
Top Bottom