Ameibiwa leseni wakati anajiandaa kwenda interview, afanye nini?

Ameibiwa leseni wakati anajiandaa kwenda interview, afanye nini?

Baada ya Muuaji,
Mwizi ndio anatakiwa apewe adhabu kubwa kuliko zote,

Hana hata copy/picha yake? Angefuatilia wahusika chap wampe hata kibali.
Wabakaji, wafiraji, mashoga, wachawi, unawaweka wapi?? Mwizi yuko mbali saaana
 
Apambane awezavyo apate leseni mpya. Maana hiyo oral ndio interview. Waajiri wake wanakuwepo pale, RMO, DMO na wengine, mpambanie apate leseni. Tena usaili umesogezwa mpaka trh 13.
 
Back
Top Bottom