Robot la Matope JF-Expert Member Joined Apr 10, 2015 Posts 8,174 Reaction score 16,794 Sep 6, 2024 #21 Pantomath said: Baada ya Muuaji, Mwizi ndio anatakiwa apewe adhabu kubwa kuliko zote, Hana hata copy/picha yake? Angefuatilia wahusika chap wampe hata kibali. Click to expand... Wabakaji, wafiraji, mashoga, wachawi, unawaweka wapi?? Mwizi yuko mbali saaana
Pantomath said: Baada ya Muuaji, Mwizi ndio anatakiwa apewe adhabu kubwa kuliko zote, Hana hata copy/picha yake? Angefuatilia wahusika chap wampe hata kibali. Click to expand... Wabakaji, wafiraji, mashoga, wachawi, unawaweka wapi?? Mwizi yuko mbali saaana
Jerry001 JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 585 Reaction score 1,299 Sep 6, 2024 #22 Apambane awezavyo apate leseni mpya. Maana hiyo oral ndio interview. Waajiri wake wanakuwepo pale, RMO, DMO na wengine, mpambanie apate leseni. Tena usaili umesogezwa mpaka trh 13.
Apambane awezavyo apate leseni mpya. Maana hiyo oral ndio interview. Waajiri wake wanakuwepo pale, RMO, DMO na wengine, mpambanie apate leseni. Tena usaili umesogezwa mpaka trh 13.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Sep 7, 2024 #23 Usaili wa mhusika bado hujafika?