Jean piaget
Senior Member
- Mar 15, 2014
- 143
- 34
21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,1,(2,3,4,5,6,)7,8,9..>>>
Angalia hizo tarehe zilizo ktk mabano.
21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,1,(2,3,4,5,6,)7,8,9..>>>
Angalia hizo tarehe zilizo ktk mabano.
Naunga mkono, jamaa inabidi akomae afanye kazi kwelikweli siku hizo zote mfululizo.. asipochomoka hapo dokta inabidi apime upya lazima kuna tatizo..
Muelekeze jamaa kua anamwaga ndani sio nje maana kama tarehe hajui isijekua hadi hili hajui.... #Kiddin !
tarehe 31may - 7june kamA mzungukO wakE ni ckU 28
Hi jf,
Kuna rafiki yangu ameniuliza kwamba mke wake ameanza period tarehe hiyo hapo juu, je ni kati ya tarehe ipi akikutana nae anaweza akapata mimba? Wana mwaka mzima kwenye ndoa bila mtoto, dr. kawambia hawana tatizo wote,
Watalamu tumsaidie huyu jamaa.