FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Huu ushauri wako mkuu ni balaa
Yaani aachane na stress za home akatafute tena nyingine mtaani huko
pole mwaya
ataongea tu huyo mwanamama ,zamani nilikuwa na vitabia vya kununa nuna mme anajaribu kunisemesha nimenuna wee alivyogundua hivo kila nikinuna na yeye anakaa kimya wala hanisemeshi heheh mpaka nikajifunza mwenyewe ,ndoa zina mambo sana,
wala hukukosea kuuliza kwa vile wewe ndo mtoa pesa,
Next time uwe unamwambia mama watoto anawauliza ndugu zake na kukupa majibu,
Pole ndugu ila hayo ni mambo madogo madogo yaliyoko kwenye ndoa
Nashukuru sana Lizzy kwa mawazo yako.
Sababu ya kumwuuliza nimemwambia, kuwa nimemuuliza kwa nia nzuri tu (na kiukweli nilikuwa na nia nzuri tu) lakini bado hataki kuelewa. Tena anasema kuwa (kwa mimi kuuliza hivyo) ni kuwa siwapendi ndugu zake...eti ataawaambia wasije tena. Na mimi sitaki kumuudhi basi nimebaki nimejinyamazia tu. Hata salamu hapokei, haki pia sipati....
Yaani bora angenuna, akatae salamu, alalamike kuliko kukunyima "haki".
Pole sana Mkuu, inawezekana ulimwuuliza swali kavu bila kutanguliza maelezo ya kuhusu kuwaandalia nauli. Hivyo, maelezo ya kuandaa nauli yakaja baadaye wakati Mother house akiwa ameishaimbia akili yake kuwa huwapendi ndugu zake. Anyway, mambo ya ndoa lazima mmoja ajifanye mdogo ili maisha yaende, kama mkivimba wote hata wageni watagundua kuwa hamuwataki, na itakuwa mbaya kama mrs wako atawaeleza kuwa umeuliza swali hilo. Wewe jifanye mjinga, wageni waondoke ndipo umkalishe chini na kumwambia ukweli kuwa hukuwa na nia mbaya, mwezi wenyewe Januari .......shule za English Medium zinafunguliwa!!!! Hatahivyo, akiendelea kuvimba baada ya maelezo hayo, inabidi upige fimbo chini, maana sasa takuwa hana maana huyo, unajinyima kwa ajili ya maendeleo ya familia halafu yeye analeta ufisadi kwenye matumizi ya familia. Wakati mwingine Democrasia ikishindika, tumia udikteta.
Mkuu ukifanya hivyo, upande wa pili watakuchukia.
kuna bro wangu aliweka limitation ndugu kwenda kwake. Ni wanafunzi wakati wa likizo, wagonjwa kama yupo kimatibabu na wazee ambao ni baba na mama. Wengine wote hakuna kwenda kwake bila sababu maalumu
Pole sana, mvumilie tu na tafuta wasaa uzungumze nae,ataelewa tu....wanawake wengine waga tuna visa sana...pengine hata ana matatizo yake mengine basi ukichanganya na hili unabeba lawama zote wewe....usiende nyumba ndogo,huko ni laana sasa waenda tafuta!
Pole mkuu,
Sijui mambo ya ndoa lkn,mbona hilo linaeleweka tu,
Ongea naye vizuri labda kuna lingine na hiyo ni sababu tu!
huko ni kumuendekeza mke wako
unapaswa kabisa kumuuliza wataondoka lini
hata kama wamekuja na nauli yao kabisa....
wewe ndo baba mwenye nyumba lazima ujue wageni wako wataondoka lini
tena hilo swali ungeuliza siku ya kwanza kabisa....
tena ungewauliza wenyewe...bila kuogopa.......
ni vizuri kuuliza wataondoka lini?
wamekuja kusalimia tu au wana shida nyingine?
wagonjwa?
au kuna pesa wanataka kutoka kwako?
au wana safari nyingine hapo ni transit?.......
huko ni kumuendekeza mke wako
unapaswa kabisa kumuuliza wataondoka lini
hata kama wamekuja na nauli yao kabisa....
wewe ndo baba mwenye nyumba lazima ujue wageni wako wataondoka lini
tena hilo swali ungeuliza siku ya kwanza kabisa....
tena ungewauliza wenyewe...bila kuogopa.......
ni vizuri kuuliza wataondoka lini?
wamekuja kusalimia tu au wana shida nyingine?
wagonjwa?
au kuna pesa wanataka kutoka kwako?
au wana safari nyingine hapo ni transit?.......
ataongea tu huyo mwanamama ,zamani nilikuwa na vitabia vya kununa nuna mme anajaribu kunisemesha nimenuna wee alivyogundua hivo kila nikinuna na yeye anakaa kimya wala hanisemeshi heheh mpaka nikajifunza mwenyewe ,ndoa zina mambo sana,
wala hukukosea kuuliza kwa vile wewe ndo mtoa pesa,
Next time uwe unamwambia mama watoto anawauliza ndugu zake na kukupa majibu,
Pole ndugu ila hayo ni mambo madogo madogo yaliyoko kwenye ndoa
Huu ushauri wako mkuu ni balaa
Yaani aachane na stress za home akatafute tena nyingine mtaani huko