aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Tulianza kama mchezo, kuitana popobawa na hatimae tigo ikaliwa. Huo mchezo umeendelea na hatima ameona ni muda wa kuzaa sasa. Changamoto iliyopo ni madhara "tunayo sikia sikia"
Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida. Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji. Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.
Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida. Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji. Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.