Amekuwa akifanya mapenzi kinyume na maumbile, sasa anataka kubeba mimba

Amekuwa akifanya mapenzi kinyume na maumbile, sasa anataka kubeba mimba

...hii ndio dhambi niliyo waachia wengine waifanye kwa raha zao...mimi kamwe narudia tena kamwe sitafanya huo uharamia.

NB:...mimi ni mshamba wa Mloo huko Mbalizi kwa hili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo mloo na mbalizi umeona ndio pa kishamba sana mkuu
 
Kuzaa atazaa tu vizuri kwa njia ya kawaida ila atakunya mavi mengi sana itabid muandae matambala ya kutosha ambayo wauguzi watayatumia kuzibia mkundu
Inaonekana we mzoefu wa hizo Mbanga!
 
U mchezo kwasasa unakua kwa kasi sana.
Vijana wameona Kama fasheni. Yaan Kuna App Yao huko Playstore dakika 5 nyingi unatumiwa picha mtu kabinuka anataka msumari Tena wengi Wana room maalum kabisa mitaa ya Mbezi Jogoo au Sinza
 
Ushauri wa kitaalamu:

1. Awe mtu wa mazoezi laini na hasa ya kutembea kwa siku 100 hadi 200 tangu alivyoacha huo mchezo.

2. Ajitahidi kula kawaida na hasa milo yenye fibers huku akitumia zaidi Maji na Juisi za kutengeneza.

3. Asibebe Mimba katika kipindi hiki cha mwanzo wa miezi 3 hadi 4 baada ya kuacha.

4. Aende Clinic ya Mama, Baba na Mtoto au akamuone daktari na kumueleza ukweli wote ili asaidiwe kwa kupata ushauri na tiba sahihi ya tatizo lake. Hospitalini hakuna Aibu.

5. Akae mbali na huyo BAASHA wake Mshenzz

6. Asiwe anajizuia haja muda mrefu.

7. Atembelee na kukaa sehemu za baridi kama anahitaji kuharakisha mapendekezo hayo ya uponaji hapo juu.

Naomba kuwasilisha.
Afadhali wewe umetoa ushauri sio hawa wanaotukana humu
 
Mmh endeleeni kutibua mtaro,kuna kabinti kalintamkia live kanapenda uo mchezo na alishawah mara mbili anata kunitunuku na mimi
 
Tulianza kama mchezo, kuitana popobawa na hatimae tigo ikaliwa.

Huo mchezo umeendelea na hatima ameona ni muda wa kuzaa sasa.

Changamoto iliyopo ni madhara "tunayo sikia sikia"
Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida.

Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji.

Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.
Popobawa amshauri
 
Sasa hiyo mimba imepatikanaje wakati mnacheza kipopobawa?? Au mlikuwa mnahamisha kutoka kwenye mtaro mnapeleka njia kuu….Aisee viumbe tumejaa laana….
 
Tulianza kama mchezo, kuitana popobawa na hatimae tigo ikaliwa.

Huo mchezo umeendelea na hatima ameona ni muda wa kuzaa sasa.

Changamoto iliyopo ni madhara "tunayo sikia sikia"
Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida.

Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji.

Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.
Ujumbe bila picha ni umbea.

Weka picha bana
 
Ajiandae kula mabao ya manesi, nakuwekwa manguo kwenye njia ya haja kubwa.

Au akafanyiwe upasuaji.

Muache hiyo dhambi ya Sodoma na Gomora.
 
It smells crazy in here lol.

Mwambie atafute ushauri wa wataalamu. Humu ndani kumejaa unafiki na judgements tu.
 
Sasa hiyo mimba imepatikanaje wakati mnacheza kipopobawa?? Au mlikuwa mnahamisha kutoka kwenye mtaro mnapeleka njia kuu….Aisee viumbe tumejaa laana….
😁😁 ah ndugu lukaku nakuona nakuonaa..
 
Back
Top Bottom