Amekuwa akifanya mapenzi kinyume na maumbile, sasa anataka kubeba mimba

...hii ndio dhambi niliyo waachia wengine waifanye kwa raha zao...mimi kamwe narudia tena kamwe sitafanya huo uharamia.

NB:...mimi ni mshamba wa Mloo huko Mbalizi kwa hili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo mloo na mbalizi umeona ndio pa kishamba sana mkuu
 
Kuzaa atazaa tu vizuri kwa njia ya kawaida ila atakunya mavi mengi sana itabid muandae matambala ya kutosha ambayo wauguzi watayatumia kuzibia mkundu
Inaonekana we mzoefu wa hizo Mbanga!
 
U mchezo kwasasa unakua kwa kasi sana.
Vijana wameona Kama fasheni. Yaan Kuna App Yao huko Playstore dakika 5 nyingi unatumiwa picha mtu kabinuka anataka msumari Tena wengi Wana room maalum kabisa mitaa ya Mbezi Jogoo au Sinza
 
Afadhali wewe umetoa ushauri sio hawa wanaotukana humu
 
Mmh endeleeni kutibua mtaro,kuna kabinti kalintamkia live kanapenda uo mchezo na alishawah mara mbili anata kunitunuku na mimi
 
Popobawa amshauri
 
Sasa hiyo mimba imepatikanaje wakati mnacheza kipopobawa?? Au mlikuwa mnahamisha kutoka kwenye mtaro mnapeleka njia kuu….Aisee viumbe tumejaa laana….
 
Ujumbe bila picha ni umbea.

Weka picha bana
 
Ajiandae kula mabao ya manesi, nakuwekwa manguo kwenye njia ya haja kubwa.

Au akafanyiwe upasuaji.

Muache hiyo dhambi ya Sodoma na Gomora.
 
It smells crazy in here lol.

Mwambie atafute ushauri wa wataalamu. Humu ndani kumejaa unafiki na judgements tu.
 
Sasa hiyo mimba imepatikanaje wakati mnacheza kipopobawa?? Au mlikuwa mnahamisha kutoka kwenye mtaro mnapeleka njia kuu….Aisee viumbe tumejaa laana….
😁😁 ah ndugu lukaku nakuona nakuonaa..
 
Mlikuwa mnaitana "popoooooo" Kama Mac Regan anavoongea😂
 
Pole yake sana ngoja waje kukupa muongozo...
 
Kuzaa atazaa tu vizuri kwa njia ya kawaida ila atakunya mavi mengi sana itabid muandae matambala ya kutosha ambayo wauguzi watayatumia kuzibia mkundu
Malizia kabisa...

Na mume ata zabwa vibao na manesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…