Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Eti anaongea na kwikwiπππNiligombana na huyu mwanamke na akawa amechukia mimi nikawa nabembeleza turudiane akawa analeta dharau.
Sasa leo akaleta hasira kuwa kila mara unamsifia rafiki yangu kuwa ametulia basi nenda kamchukue.
Nikamwambia naenda. Ghafla nimkarushia namba ya rafiki yake. Sasa hivi anaongea na kwikwi mpaka huruma.
Tatizo huwa mnataka kubembelezwa sana.Kuna wanaume ni wana utoto mpaka huruma.
Una uhakika mleta mada ni jinsia hiyo? Maana hata wewe sina uhakika kama ambavyo huna uhakika na Mimi!!!Kuna wanaume ni wana utoto mpaka huruma.
Utoto upo wapi hapo.Kuna wanaume ni wana utoto mpaka huruma.
Mwanaume mwenye utoto na mshamba hivyo siwezi hata kuwa nae karibu achia mbali kufika hiyo level ya kubembelezana.Tatizo huwa mnataka kubembelezwa sana.
Haaa. Yaani kanizingua alafu nisijiongeze kuvuta rafiki yake?Imekaa ki trab na trat
Naomba ujiheshimu. Haya ni maamuzi yangu. Na huyu rafiki yake namchukua.Mwanaume mwenye utoto na mshamba hivyo siwezi hata kuwa nae karibu achia mbali kufika hiyo level ya kubembelezana.
Anatia huruma na kwikwi. Anasema si umeamua sawa banaEti anaongea na kwikwiπππ
Endelea na rafiki ake hadi billion 360 zipatikaneHaaa. Yaani kanizingua alafu nisijiongeze kuvuta rafiki yake?
Nimeisha nunua ugomvi huo, Mkuu. Ebu niachie Mimi aisee. Ha ha haaaa!Naomba ujiheshimu. Haya ni maamuzi yangu. Na huyu rafiki yake namchukua.
Unaweza kupata mwenye utu uzima na bado ikafika wakati ukaongea kwa kwikwi ππMwanaume mwenye utoto na mshamba hivyo siwezi hata kuwa nae karibu achia mbali kufika hiyo level ya kubembelezana.
Wanawake mnafanana hasira. Naye ameniambia kama vipi chukua rafiki zangu woteEndelea na rafiki ake hadi billion 360 zipatikane
πππWanawake mnafanana hasira. Naye ameniambia kama vipi chukua rafiki zangu wote
Usichezee nafasi chukua woteWanawake mnafanana hasira. Naye ameniambia kama vipi chukua rafiki zangu wote