Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mnakumbuka huu wimbo
amempata mwenzake aliepewa na bwana
nawatakia wote wanaoenda kupeana pete za kuwa mume na mke maisha mema na ya faraja na furaha ndan yenu..kumbuken mungu ndie mweza yote..binadamu awezi kurekebisha ndoa yako...nawatakia uzao wa uaminifu asiwepo mke mwenye kuzaa mtoto wa houseboy ama xboyfriend....ndoa yenu ikawe ya yes yes no no..kusiwepo na kutokelewana especially kwenye upande wa imf mshaara wako uwe wakwe wake uwe wenu
mungu awabariki
amempata mwenzake aliepewa na bwana
nawatakia wote wanaoenda kupeana pete za kuwa mume na mke maisha mema na ya faraja na furaha ndan yenu..kumbuken mungu ndie mweza yote..binadamu awezi kurekebisha ndoa yako...nawatakia uzao wa uaminifu asiwepo mke mwenye kuzaa mtoto wa houseboy ama xboyfriend....ndoa yenu ikawe ya yes yes no no..kusiwepo na kutokelewana especially kwenye upande wa imf mshaara wako uwe wakwe wake uwe wenu
mungu awabariki