mhhhh pole xana! Ni ngumu sana hasa kama ulipenda kweli, imentokea kama 9mnths ago, but kwangu imekua ngumu sana nishaanzisha new r'shen nyingi ili kumsahau ila wapi. Muombe sana Mungu. Ushauri wangu tulia usianzishe r'shen nyingine mapema coz itakucost tu na utazani kuwa unamkomesha ila kiukweli utakuwa unajikomesha.
Umeongea swala la mbolea sana Blaki Womani vp wewe Yanga au Simba au Azam?
duh, 'nyuma nyuma' ndiyo mpango mzima nini....
if you decide u can, I went through that like a week ago. What is hard is forgetting the history you made together. Just decide that you aint gonna keep on crying for him coz he doesnt deserve your tears.
Just try to erase all the good memories you had together and time will heal your pain
Kwahiyo huyo f a l a ndio aliyefungua seal? na lini ameanza kubadilika?nlimkubal last year feb, i did it(sex) this year jan.
ukishaona mwanaume anaweka shida zake mbele kimbia...mwanaume unamnunulia hadi chupi? angekuwa mwanaume kweli asingekuacha ...huyo sio mtu tena shukuru huo mzigo umekutoka ungejuta maishani...jaribu no mbili na tatu utakuja kuona jinsi ulivokuwa unajitesa bila sababu...
mimi sio kwamba napenda mtu tajiri but mwanaume wa kunitegemea siwezi....nashukuru pia moyo wangu ushakufa ganzi..maana wanadai moyo mdanganyifu....
hapo sasa mtu hata akili ya kununua chupi yake hana ..wa nini huyo banaaa.tupilia mbali...umesahau smile kumwambia kua iwe mwisho kumnunulia man nguo au zawadi unless na yeye anakupa. Kama hakupi na wewe hakuna kumpa, full stop. Akikupa mpe, asipokupa, usimpe. Ndivyo inavyokua. Wanaume maskini wa nini hao ambao hata shati na suruali wanategemea mwanamke halafu shukrani zao ziko kwenye makalio yao. Acha hizo, usirudie tena. Ndio maana unaumia sana kwa sababu ya gharama ulizotumia juu yake.
Nilikua nampenz 2medum like almst a year, bt akaanza visa anaweza asipokee sim wala kujibu sms..jana kaniambia ukweli kwamba me and him we kant copy and becoz i was a gud gal to him akawa ana delay kujibu msg au kutonitafuta ili nichoke autmatical then ni give up, kila mtu aendelee na maisha yake.
Nimelia sana bt ther is nothng we kan do..kasema si kila wapendanao huishia kuwa couples. And now i want to move on, i want to forget him please help me out.
NB: he was my first guy, i neva cheated on him, i am 24 and half.
ahahaaaa kungwi sema nenohebu nikae kimy manake naweza kujaza thread yote hii ushauri.