Ameniacha ila nampenda…!

Ameniacha ila nampenda…!

Mdigokhan

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2022
Posts
942
Reaction score
2,198
Mimi ni kijana mwenye miaka 28 Nina kil0 97. Sijivunii kuwa na kil0 nyingi hivi ila napamba kuzipunguza ila na0na kama zinazidi.

Kwenye Uandishi wangu Badala ya O naweka 0 hiv0 mnivumilie msinitukane wajuaji kama siku z0te.

Ip0 hivi, Nimeishi na huyu mwanamke wa kirangi Yapata sasa miezi 8 Na ninampenda sana Sana. Nimewekeza MUDA, AKILI, MWILI vy0te kwakwe....!!

Katika mahusian0 yetu y0te ya Miezi 8 katika kitanda huwa namfikisha kileleni na full kumridhisha na ninajua hil0 na huwa ananiambia.

Ila huk0 kwenye kumridhisha huwa kuna kitu natumia ili kumfikisha kileleni ili aridhike na afurahie tend0, kiufupi natumia mk0ng0.

Mk0ng0 huu nimeanza kutumia muda zaidi ya mwaka sasa na nusu. Huwa napaka na kufunga remba baada ya nusu saa au lisaa nikifungua Remba basi mamb0 yanakuwa bull bull napiga sh0w hata lisaa na nusu. Nikipaka MK0NG0 huwa natumia kwakwe au hata kama nikimchit kwa wengine huwa natumia MK0NG0 ili nijichukulie p0int 3 kwa mashangazi wenye vijipesa vya0.

Ila y0te kwa y0te juzi Amefumania MK0NG0 wangu. Halikuwa jamb0 d0g0 kwakwe, amedai tuachane. Hanitaki hata chembe, naumia nalia. Nampenda siwezi bila yeye.

Jana amenipa mtihani baada ya juzi kukuta MKONGO wangu kwenye kibegi changu cha kazini. Ameniambia tufanye sex bila mie kujipaka huu MKONG0. Kiukweli sikuweza kumaliza TEND0 hata kwa dakika 5 Nikawa nishak0j0a. Alinicheka sana akasema Safari yetu ya mapenzi imeishia Paleee.

Najua yup0 humu, najua hii p0st unais0ma. Naku0mba ma mtu please nisamehee...
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 28 Nina kil0 97....Sijivunii kuwa na kil0 nyingi ivi ila napamba kuzipunguza ila na0na kama zinazidi...

Kwenye Uandishi wangu Badala ya O naweka 0 iv0 mnivumilie msinitukane wajuaji kama siku z0te...

Ip0 ivi.....Nimeishi na huyu mwanamke wa kirangi Yapata sasa miezi 8 Na ninampenda sana Sana...Nimewekeza MUDA,AKILI,MWILI vy0te kwakwe....!!

Katika mahusian0 yetu y0te ya Miezi 8 katika kitanda Huwa namfikisha kileleni na full kumlidhisha Na ninajua hil0 na huwa ananiambia...!!

Ila huk0 kwenye kumlidhisha huwa kuna kitu natumia ili kumfikisha kileleni ili aridhike na afurahie tend0,kiufupi natumia mk0ng0...

Mk0ng0 huu nimeanza kutumia muda zaidi ya mwaka sasa na nusu...!! Huwa napaka na kufunga remba baada ya nusu saa au lisaa nikifungua Remba basi mamb0 yanakuwa bull bull napiga sh0w hata lisaa na nusu...Nikipaka MK0NG0 huwa natumia kwakwe au hata kama nikimchit kwa wengine huwa natumia MK0NG0 ili nijichukulie p0int 3 kwa mashangazi wenye vijipesa vya0....

Ila y0te kwa y0te juzi Amefumania MK0NG0 wangu,Halikuwa jamb0 d0g0 kwakwe...amedai tuachane!!Hanitaki hata chembe..!!naumia nalia...Nampenda siwezi bila yeye...

Jana Amenipa mtihani baada ya juzi kukuta MKONGO wangu kwenye kibegi changu cha kazini...Ameniambia tufanye sex bila mie kujipaka huu MKONG0....Kiukweli sikuweza kumaliza TEND0 hata kwa dakika 5 Nikawa nishak0j0a,Alinicheka sana akasema Safari yetu ya mapenzi imeishia Paleee...

Najua yup0 humu,najua hii p0st unais0ma...Naku0mba Ma mtu plz Nisamehee...
😅😅😅😅😅 0 = o
 
Bwege mtozeni...
Yani hata kutafuta energy na pipi kifua umeshindwa..

Tutakutana kwenye kikao mpumbavu wewe.
 
Acha masihala, kilo 97 ukiwa na miaka 28 hapo umepitiliza mno, fana mazoezi ya kutosha kupunguza unene na uzito, ukiwa hivyo hautaweza perform vyema hata siku moja,

jijengee hali ya kujiamini unapokutana na mwanamke na pia hata usizoee kutumia mkongo, kujiamini tuu pamoja na kufanya mazoezi unaweza mfanya mwanamke akafika kunako,

Jifunze kuwa farasi Dume bila hivyo kila utakoenda utaonekana una poor perfomance
 
Back
Top Bottom