Ameniacha ila nampenda…!

Ameniacha ila nampenda…!

Ngoja vita ya ukraine iishw kwanza ndio tutarudi kujadili mada yako
 
ndo madhara ya ku boost kenge wewe kula chakula kizur matunda kwa sana ucsahau mazoez kapige show utanishukuru
 
Achana na mapenzi wekeza kwenye kutafuta hela,kwa sasa huna hela ndio maana umeachwa kwa sababu ndogo hivyo,ungekua na hela kwa sababu hii uliyotoa hapa usingeachwa
 
Back
Top Bottom