Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kama hakuweza kuulewa huu ujumbe basi jamaa anaenda kupigwa na kitu kizito.Mwanamke hatakiwi kupenda Muonekano wako anatakiwa kukupenda kama ulivyo
Kuhusu mtoto kwann alikuficha??
Kifupi hakuna wife material hapo
Watu wanaangalia akili sio kifua.
Na wewe unahangaika kumridhisha mwanamke???
Hapo kachagua home win or draw ajabu anashinda away na life goes on πππUende gym na bado uanze mechi ukiwa na handicap -1?
Umeshikiwa akili au shule ulisomea ujinga?
Hapo unalazimisha mahusiano ndugu! Basically huyo mwanamke hakupendi hata kidogo anataka kitu kwako! Jiingize hapo uharibu maisha yakoKwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.
Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k
Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.
Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.
Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.
Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.
Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.
Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.
Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.
Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.
Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.
Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?
Nalileta kwenu wakuu wangu
[emoji2]Uende gym na bado uanze mechi ukiwa na handicap -1?
Umeshikiwa akili au shule ulisomea ujinga?
StupidKwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.
Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k
Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.
Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.
Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.
Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.
Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.
Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.
Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.
Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.
Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.
Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?
Nalileta kwenu wakuu wangu
Yaani mtoa mada ni lipumbavu sijawahi ona, K tu analipia zaidi ya milioni moja na mpaka sasa hajaichakata, wengine tunachakata na kumpa elfu kumi tu kama posho ya nauli.Stupid