Amenichosha: Nisaidieni software za kuhackle simu yake

You can do this by using cell phone monitoring software. Yup, they're available and I will review various ones later on.[/B][/SIZE][/FONT][/SIZE]
SpyBubble - Cell Phone Spy Software[/QUOTE]

Yes, please, could be useful for many.....
 
kwa mfano ukizisoma na ukakuta unaibiwa utamwachaa. IF NOT assume upo mwenyewe jipondee maraha
 


wewe una simu yako soma meseji zako kwanini unataka zake? Kuna kitu kinaitwa infridgement of privacy......
 
shida yote ya nini kama anacheat mmwage, kama unaona anakupa mateso ya moyo badala ya faraja tupa kule,uki-hack cm yake ukakuta mayb yupo na mahusiano na watu zaidi ya watatu,halafu wewe kakusave 'nyau' kwenye phone book utafanyaje? Maumivu mengine ni ya kuepukika
 
Kuna mtaalam mmoja humu anaitwa SHAROBALO.. mtafute atakutatulia tatizo lako. Hata kama unataka kuhack facebook yake huyo sharobalo ndo suluhisho pekee..
 
Bora na wewe umuambie!sijui anatafuta nini huyu mtoto wa kike.

 
Kuna mtu alishauriwa hivi 'kama unahisi mwenzio anacheat na wewe mfanye ahisi unacheat. Ukigundua anacheat na wewe cheat. Hakuna sababu ya kumwaga umpendaye kisa eti ana cheat. Ulonae mzuie, akija akikutoka usijekulia nae'
 
Ukimkamata unafanyaje sasa, maana unaweza ukajua na usifanye lolote
 
Hiyo yote ni kutafuta sababu ya kuachana na huyo jamaa yako!!!Jiulize haya:-
1.Wakati mnaanza mahusiano mlikubaliana kuangaliana simu zenu au hilo umelitunga wewe????
2.Kama yeye haangalii simu yako wewe kinachokuwasha ni nini,unadhani wewe ndio unampenda sana kuliko wewe.Kama hakupendi c angekuwa kashakubwaga kwani mmewekeana gundi?
3.Kuna mambo mengine ni private sana hasa yanayomuhusu yeye binafsi au na familia yake!!!wewe hayo wayatakia nini?
4.Naamini hii stori imetungwa ujue kama hiyo inawezekana au laa
5.Je umemsimulia mwenzio mambo yako yote(historia ya kiunyumba) ,kama bado msimulie kwanza
6.Tuko wengi ambao simu zetu haziguswi na mtu labda sijui iweje
Ushauri-ukitaka kusoma meseji za jamaa yako jipenyeze ukafanye kazi kampuni ya simu,nmc au kitengo gani kile utasoma zote na utasikia simu zote
 
Sio vizuri huyo mtu kukunyima sim yake,lakini unaitaka ya nini?Tatizo laweza kuwa limeanzia kwako!Unapotafuta kitu unapokipata inatakiwa ufurahi sio kuchukia labda ukutane nacho bahatimbaya ndo utachukia coz ulikuwa haukitafuti!
 
Sio vizuri huyo mtu kukunyima sim yake,lakini unaitaka ya nini?Tatizo laweza kuwa limeanzia kwako!Unapotafuta kitu unapokipata inatakiwa ufurahi sio kuchukia labda ukutane nacho bahatimbaya ndo utachukia coz ulikuwa haukitafuti!

Huyu nampenda sana siwezi kumuacha ila lazima tu nijue anafanyeje
 

Sio lazima mbona wengine wanasoma tuuu
 

dah pole best kuna dada mmoja anaweza kukusaidia yaani akisoma sms na ww zinaingia kwako ni pm
 
Huyu nampenda sana siwezi kumuacha ila lazima tu nijue anafanyeje

Kama unampenda sana na hutaweza kumwacha no matter what,y unatafuta chanzo,y humwamini?huoni ukikuta vinavyoumiza ladha na quality ya mapenzi yenu itaharibika kaka?Mimi sikushauri,kama vipi mwombe abadili namba ya simu.Labda ana marafiki aliokuwa nao kabla hamjakutana na hataki kuwaloose as hamna commitment yoyote ie uchumba au ndoa(Haimaanishi ni wapenzi wake)
 
Unaitafuta presha na maumivu ya moyo kwa gharama zako mwenyewe
 
:ban::ban::ban::ban:
kaka kama unataka upate presha nenda ukasome hizo sms kwenye sim yake , BETTER BUL SHIT her cku hizi wazuri wapo kibao
 
tafuta line fresh kama ya mtandao anaotumia, vizia chukua simu copy namba zote alikuwa nazo kwenye kwenye sim card yake kwenye hiyo line mpya then siku nyingine badilisha line hiyo mpya iweke kwenye simu yake then ile ya simu yake iweke kwenye simu yako angalau kwa siku moja utagundua kitu.
NB
kama line yake ni 0713 ABC DEF find a special no. 0714 ABC DEF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…