Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

Mkataa pema pabaya panamwita. Unatafuta mate so kwa gharama kubwa mkimbie huyo kama bolt
 
Bado unaomba ushauri? We jamaa una matatizo sana ujue? Yapo mambo ambayo huhitaji hata kuomba ushauri brother, unachukua hatua na life linasonga. Kenua meno utajuta yatakato kukuta soon.

Asemavyo,
 
mkuu mtu hafundishwi akilili. ka huna akili za kutabainisha ulojione ngojea tukushauri yakufanya
 
w
Kwa usawa Huu? Labda wanaume wenye pepo!
watu wanajitoa muhanga kiongozi..usawa huu huu mtu anafungulia biashara mchumba..hizo hela kama nina wazazi ni mara 100 nikampa mama yangu alienilea toka udogoni
 
Back
Top Bottom