Mkuu, ukweli ni kuwa huwezi kumkomoa mwanamke eti kwa kusugua masaa. Ila ni huduma tu tunapata kwa kubadilishana na pesa. Mwisho wa siku wanafaidi pesa na sisi tunafurahia utelezi.Utakua huujui utamu wake kusugua mbususu wewe[emoji4]
Nyie watu huwa mnadhani kuna hela ndogo? Kama huyo binti ana hela basi asiombe hata hilo teni.Umeombwa Elf 10 tu umekimbia Kuja kufungua uzi,.... Ungeombwa laki je...... Khe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwasababu hiyo ndio maana wanaume wamekuwa hawatoi hela zao ovyo ovyoHuyo sio mpenz alikuwa anadanga hapo ukubali ulikuwa danga la mtu
Utamu watasikia wote
Kwanza anavyoandika tu utajua ni wa namna gani loh. Shida sana sisi wanawake
Aaah wapi,
Huyu hata sina huruma nae,
Maaa najua Hana mapenz yoyote na Mimi,
Anapokua na shida zake ndo huwa ananitafuta.
Kwanza leo nashangaa kawa mstaarabu sana,maana kaomba ela ndogo Sana.
Huyu shida zake huwa zinaanzia elfu 20+, asipokua na shida hata Salam whatsapp kujibu huwa Ni Changamoto.
Siku ya kwanza Alikua na shida ya elfu 50 nimkope atarudisha mwisho wa mwezi akipata mshahara, nikamtumia tigopesa bila hata kuomba kukutana nae. Hata kusema "Asante nmepata" alishindwa.
Baada ya siku 3 mimi ndo nampigia kumuuliza Kama alipata, anasema "Asante nilipata" .
Mwisho wa mwezi ulivofika hakurudisha pesa, miez 3 ikapita nikakutana nae nikamuuliza khs Deni langu.
Akaanza kung'ata vidole, jion kanitumia picha za uchi. Nikaona huyu muuzaji.
Nisipojiongeza Hili deni ndo imeshatoka hiyo. Kwaiyo nikapita nae kufidia Deni.
Tangu kipind Hicho,
Akawa ananitafta anapokua na shida,
Namimi namtumia, Kisha namtatulia shida zake
KUNA MDA
MATENDO YENU WANAWAKE,
YANATUFANYA WANAUME TUNAONEKANA WADHALILISHAJI.
Naipenda sana jf kuliko social network zote, ukiondoa WhatsApp bussines na twitter.
Sina mtandao mwngn wa kijamii zaidi ya hizo 3[emoji4]
Anyway,
Umeadimka Sana dada angu, au huwa unapita kimya kimya?
Wewe upewe sh ngapi uliwe?
Dada sio kila mtu ana uwezo wakiuchumi sawa na mwingine tumetofautiana Huyo dada unaweza kukuta kazi hana kwani asione elfu 7 kwake ni kubwa? Au unakuta na binti mdogo ambaye hana majukumu so usipende kumdharau mtu wakati ujui mazingira yake yakojeUmeanza kunichunguza[emoji23][emoji23]
Nimemaanisha amejirahisi sana yaani ni very cheap⦠yaani unaomba elfu 7 afu baadae unaenda kuliwa si kama kujiuza huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada sio kila mtu ana uwezo wakiuchumi sawa na mwingine tumetofautiana Huyo dada unaweza kukuta kazi hana kwani asione elfu 7 kwake ni kubwa? Au unakuta na binti mdogo ambaye hana majukumu so usipende kumdharau mtu wakati ujui mazingira yake yakoje
Sasa hutaki tena ujibiwe? Yaani unataka mtu anyamaze wakati umeandika? Watoto wa nne kila mmoja ana baba yake si udangaji huo? Mi nakujibu kama kawaida unapotetea wenzako na sisi tunakushauri kuwa hayo si maisha. Unapomzalia kila mwanaume mtoto unadanga pia kwa style hiyo ya kuhudumiwa watoto. Au wote umemsingizia mmoja?π Maana wanawake wa aina yako huwa hamna aibu kabisa....Povu Tena kama Huna uvumilivu usianzishe Uzi kilamtu anakuja na mawazo yake
Mm sio mdangaji na siwez kuwa na watoto wanne nikamdangie nani Sasa ππ
Nami nmetoa mawazo yangu kulingana na yako. Mbona sijakutukana?KUNGURU SI ANAFAHAMIKA KWA RANGI NA SAUTI YAKE? unamjua tu si huwezi mfananisha na njiwa.so mimi kunguru nitampa mizoga na njiwa nitampa mtama. ππππNakuheshimu sana sitaki tufikie kwenye matusi kma unatongozaga wauza k ni wew na hakunasehemu nimtukna nimetoa mawazoyngu tu km walivofanya wengine tuheshimiane
Huwa wa aina yako mnatoa kila kitu ....π€£π€£π€£π€£Ukitoa pesa ndio zinakuja nyingine mkuu, kiuhalisia wanaume tumeumbwa kutoa na wao wameumbwa kupokea.
Muombee msamahaKwanza ameandika maandishi makubwa, Ina maana alikuwa anakukaripia? Sijapenda