Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Sahii kabisa chief[emoji4][emoji106],
Mambo ya kutoa toa pesa hovyo Ni huruma za kipumbavu, kwa Watu wasio na shukran Wala maslah yoyote na wewe.
 

Hujamwelewa mtoa mada, shida sio ninyi kutuomba hela, Kiuhalisia sisi wanaume tunapenda kuwapa nyie wanawake hela, ila Tatizo nyie wadada mnaoombaga hela mwanzoni mwa mahusiano mara nyingi mnakuaga hamna hisia na sisi, hamtupendi na mna nia mbaya na sisi, sanasana mnatuonaga Sisi wanaume washamba Na wajinga sana mnapotuombaga hela na tukawapa.

Namwelewa mtoa mada povu lake linatoka wapi, hajachukia kuombwa hela na huyo mdada ila ni huko kwenye mahusiano yake aliopita alikutana na wadada wengi sana wa type hio wakampiga na kitu kizito.

Hii shida ya sisi me kuombwa ombwa hela nadhani itaisha sisi jinsia ya kiume tukiacha kutongoza tongoza ovyo kila mdada tunaemuona, maana inasababisha uhitaji wa papuchi kua Mkubwa kuliko upatikanaji, ivyo Kupeleka sisi kulipia utelezi sophy27
 
Basi ndio tukubaliane, hakuna kuombana pesa mpaka pingu zifungwe! Beyonce anaimba akituambia "I ain't your momma" nasisi tunasema we ain't your fathers
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kwaiyo mpenz wako haumuhudumii au unawafurahisha wenzio hapa ๐Ÿ˜‚
 
Hapo nimekuelewa lkn kusema nguvu za kiume kupungua sabbu ya elfu kumi hapana ๐Ÿ˜‚mpunguze kutongoza tongoza Sasa ๐Ÿ˜‚
 
Huyo Ni Mdangaji,
Maana ake kdshakuona wewe kitega uchumi, hata hisia za mapenz zinakata
 
Mpe pesa,
afu mtumie ufidie thaman ya pesa yako
Hivi unamtumiaje mtu kufidia thamani ya pesa ๐Ÿ˜€ ingekuwa unamtumia kukuzalishia pesa hapo sawa ila kingono how ๐Ÿคท usishangae unamtumia unavyojua ukimaliza nusu saa baadae anaenda kwa mwingine ๐Ÿ˜€
 
Mwanzo wa ngoma ni lele. Soma uelewe. Mtu anayefanya kazi,anaishi kwa wazazi. Kuonana nami ndani ya 3 days anitangazie shida....sitaki wanawake wenye shida hizo. Na sikuwa na lengo la kumla. Soma mbona imeandikwa kwa kiswahili chepesi tu?inaeleweka.nami nimemjibu kiwepesi kabisa...๐Ÿ˜ Muwe na subra basi. Siyo kudhani kila mtu ananunua utelezi.
 
Huyo sio mpenz alikuwa anadanga hapo ukubali ulikuwa danga la mtu
 
Watch your language!
Bi mkubwa wako anaweza kuwa mke wangu wanne na ukanita Baba kama wenzio..
 
Bob huyu dem ni mkali sana. Sema tu amekosa akili. Mimi nina tabia hata demu awe mkali vipi akikosa akili siwezi mla. Naona ataniambukiza upumbavu wake
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kwaiyo mpenz wako haumuhudumii au unawafurahisha wenzio hapa ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ tubakie kwenye mada. Mimi siyeniliombwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Watch your language!
Bi mkubwa wako anaweza kuwa mke wangu wanne na ukanita Baba kama wenzio..
Nyie wasagaji mna watu wa aina yenu...mimi huwa nawapasua tu...wasagaji na wadangaji. Siwawekei mate kabisa....nawachana tu kinyama..๐Ÿ˜
 
Ni vizuri umchukue ambae unaweza mmudu. Ilikua ni sahihi sana kumjibu ulivyomjibu, lakini haikua na ulazima uje kutuonesha huku. Wengi wametoka katika malezi mbalimbali. Hivyo ndivyo alivyolelewa. Ukiona hamuendani basi muache tafuta ambae unaemuweza. Kuna wengine wanatamani huyo anaeomba elf 10๐Ÿ˜‚ maana kuna wanaopigwa pesa nyingi unashangaa. Wewe mchukue ambae unamuweza wewe bila kushirikisha wengine brother
 
Hivi unamtumiaje mtu kufidia thamani ya pesa [emoji3] ingekuwa unamtumia kukuzalishia pesa hapo sawa ila kingono how [emoji1745] usishangae unamtumia unavyojua ukimaliza nusu saa baadae anaenda kwa mwingine [emoji3]
Hivi unajua maana ya kumtumia mwanamke? Yaan vile kumshughulikia?

Ni ile unamshughulikia Masaa 4+ mikao tofauti tofauti, akitoka pale kachoka viungo vyote vinauma.

Sio unamvutia hisia na unamgusa gusa TU nusu saa utadhan amekua mkeo uyo

Yaan,
NAMAANISHA KUMPELEKEA MOTO[emoji4]
 
Sms ya uyo dem sio ya mtu mwenye shida niya mtu alie zoea ,ina onesha ni tabia yake kuomba kuomba hela ...binafsi ata mimi pesa yangu uwa sitoi kizembe kijinga jinga tu kisa uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ