Happy New Year sweet heart...ππInabidi kuwazowea tu Baba Mchungaji.
Daah!! February eti hii atii. ππHappy New Year sweet heart...ππ
Kilichobaki hapo avae toy Akupelekee mottoWanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zwazwa hili dogoNgoja akutie dole kbsa
Shoga hiloMkuu unaradiate feminine energy. Yaani mwanamke mpaka akupige mwanaume maana yake amekuona mpo sawa na anakumudu. Kiufupi yaani anakuona kama mwanamke mwenzake. Anza kueradiate masculine energy ili heshima iwepo.
Mimi naona maajabu kuona mwanaume mwenzangu anapigwa na mtoto wa kike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safari nyingine akikupiga kofi anguka chini na kuzimia kama Haji Manara.Asipokunyanyua muache mchumbie rafiki yake.Tahadhari usimpeleke Dubai.
Si atamuua πππ
KweliSi atamuua [emoji3][emoji3][emoji3]