Amenilamba vibao, nifanyeje?

Amenilamba vibao, nifanyeje?

Inatakiwa uachane naye Ila kwa Mila za kikwetu. Sijui kwenu Ila Kama mmesoma mmeelimika na mmnaishi kizungu nadhani unapotezea,unasema thank you baby
 
Safari nyingine akikupiga kofi anguka chini na kuzimia kama Haji Manara.Asipokunyanyua muache mchumbie rafiki yake.Tahadhari usimpeleke Dubai.
 
Mkuu unaradiate feminine energy. Yaani mwanamke mpaka akupige mwanaume maana yake amekuona mpo sawa na anakumudu. Kiufupi yaani anakuona kama mwanamke mwenzake. Anza kueradiate masculine energy ili heshima iwepo.

Mimi naona maajabu kuona mwanaume mwenzangu anapigwa na mtoto wa kike.
Shoga hilo
 
Safari nyingine akikupiga kofi anguka chini na kuzimia kama Haji Manara.Asipokunyanyua muache mchumbie rafiki yake.Tahadhari usimpeleke Dubai.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani mafundisho ya dini yako yanakutakaje? Ukipigwa kibao shavu moja unampa na lingine aliwashe kibao, au sivyo?
 
Back
Top Bottom