Amenilamba vibao, nifanyeje?

Amenilamba vibao, nifanyeje?

Ikitokea, usirudishe.. Mgeuzie upande wa Pili...

Akithubutu kupiga kwa mara ya pili, basi huyo Kakusudia akiwa na akili timamu.

Unachotakiwa kufanya:

Mshike Shingo muegemezee ukutani, Kunja ngumi (Vizuri) Piga kwa nguvu pembeni ya Uso wake (Piga Ukutani).. Piga hata tatu.

Then muachie, ondoka.

Hatorudia hata kufoka mbele yako.
 
Screenshot_20230205-060755_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom