Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mpoleWanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
Mwanamke ni pambo la kila pahari.dadekhi!! wanawake vitu vizuri vyote ni vyenu tu
Unamlamba kalioWanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
Je, mi mke wako, mchumba au hawala?Wanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
Kama jambo hili unashindwa. Je utaweza kusimamia familia yenye watoto 5?Wanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
Nifundishe kaka nifanyejeJe, mi mke wako, mchumba au hawala?
Tatizo liko kwako na utaendelea kuchakatwa makofi mpaka pale akili ikukae sawa.
Learn to be a gentle, I mean real gentleman, mwanaume hakusonywa TU na mwanamke yaani anaanzia wapi?
Daaa aisee kabadilika Kawa hayawaniMbusu, mkumbatie
Usijibie uzoefuMbusu, mkumbatie
Daaa nafikiria ila naona ntaua mtu bureHuo ni uzezeta
Sasa huyu naona ntapiga ntaua Bure niletewe kesiUsikubali mwanamke aujue udhaifu wako
Inabidi kuwazowea tu Baba Mchungaji.Ndiomaana nasema kwamba skuhizi pamekua na vijana wa hovyo sana humu ndani
Ndiomaana nasema kwamba skuhizi pamekua na vijana wa hovyo sana humu ndani
We mpige mabao yakikubwaWanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?