Sasa Jakubumba ndugu yangu, kumbe hutaki kurudiana nae kwa hofu kuwa anaweza kukutenda tena? Kwani huyo utakaempata una uhakika gani kwamba hatokutenda? Mi nakushauri usirudiane nae endapo humpendi na mapenzi yako kwake yashaisha.....!
10,000% right Mzee! Katoka maisha ya ujanafunzi akaingia jeshini sasa anataka ya ughaibuni. Pengine kwake wanaume ni chombo tu cha kupata maisha mazuri sio maagano ya kuishi kwa hali zote,raha na shida!
Hata akitendwa na huyo mpya itakuwa ni mwanzo kwa huyo lakini kutendwa tena ni kujitakia.
Nilikuwa na girl friend tangu 2002 hadi 2006. Tulipendana sana ingawa hatukuwa na kipato chochote maana tulikuwa wanafunzi, tulipohitimu form six mwenzangu alianza kubadilika kitabia na nilipomuuliza akawa anakana kabisa,ila mwisho wa siku mambo yakawa hadhalani ana uhusiano na mwanajeshi na ana mpango wa kumuoa! Nilimsihi nampenda tuvumilie tutakuwa na maisha yetu ila akakataa na akaniambia amisha mpenda mtu mwingine. Kwa kuwa huwa naamini mapenzi hayalazimishwi nikajipa moyo na kusonga mbele! Mungu si athumani akanijalia nikapata chuo USA nikawa nimeondoka tz hivo machungu sikuyapata sana maana nikawa niko mbali hata simuoni anavyofurahia penzi lake jipya! Ni miaka minne sasa imepita, nilishtuka sana juzi baada ya kuona sms yake kwenye simu yangu ikinisihi kumpigia! Sikusita nikampigia: kikubwa zaidi akawa ananiomba msamaha turudiane aliko hafurahii maisha! Wanajf! Mie huwa nina msimamo sana ktk maisha yangu, jibu nililompa ni kuwa asijisumbue kuomba msamaha maana sitamkubalia kabisa! Je nina kosa? Ukweli ni kuwa ninatafuta mchumba ila siko tayari kurudi nyuma kwa mtu alienitenda nataka kusonga mbele!!!
Shukrani kwa ushauri wako! Mimi ni me! Sio ke!
Change avatar then maana kumbe ni dume...weka avatar nyingine
Duh! nilikuwa wala sijaiangalia avatar mpaka ulipoandika Mkuu.
Nilikuwa na girl friend tangu 2002 hadi 2006. Tulipendana sana ingawa hatukuwa na kipato chochote maana tulikuwa wanafunzi, tulipohitimu form six mwenzangu alianza kubadilika kitabia na nilipomuuliza akawa anakana kabisa,ila mwisho wa siku mambo yakawa hadhalani ana uhusiano na mwanajeshi na ana mpango wa kumuoa! Nilimsihi nampenda tuvumilie tutakuwa na maisha yetu ila akakataa na akaniambia amisha mpenda mtu mwingine. Kwa kuwa huwa naamini mapenzi hayalazimishwi nikajipa moyo na kusonga mbele! Mungu si athumani akanijalia nikapata chuo USA nikawa nimeondoka tz hivo machungu sikuyapata sana maana nikawa niko mbali hata simuoni anavyofurahia penzi lake jipya! Ni miaka minne sasa imepita, nilishtuka sana juzi baada ya kuona sms yake kwenye simu yangu ikinisihi kumpigia! Sikusita nikampigia: kikubwa zaidi akawa ananiomba msamaha turudiane aliko hafurahii maisha! Wanajf! Mie huwa nina msimamo sana ktk maisha yangu, jibu nililompa ni kuwa asijisumbue kuomba msamaha maana sitamkubalia kabisa! Je nina kosa? Ukweli ni kuwa ninatafuta mchumba ila siko tayari kurudi nyuma kwa mtu alienitenda nataka kusonga mbele!!!
Huu ni ushauri bomba sana, lkn kama tu yeye ni mwanaume rijali! Hivi mwanaume na akili timamu unaweka avatar ya kike! Japo ni uhuru wake hata akivaa sketi! Labda ana kasoro ambazo hata demu mwenyewe ameona ni wa kuchezea akili.Yaani we unanitia hasira mbayaaa..ingekuwa ni mimi hata hapa jf nisingetia maguu kuja kuomba ushauri. Tena kwa jinsi alivyokuacha kwa nyodo mshenzi huyo wallah mi hata hiyo simu nisingempigia.
Huyo hana mapenzi ya kweli bali yuko kimaslahi zaidi. Alikuona huna kitu akakuacha kwa nyodo na dharau, kaenda huko ashatumika sana then mambo yamekuwa magumu ndio anakuja kwako akuletee wewe makombo nyambafuuu tena we ingekuwa mdogo wangu ningekukata mambataaa...
Ukirudiana na huyo demu utakuja juta maisha yako yote, we mshukuru Mungu amekuepusha na huyo nyang'au mwenye tamaa ya kufa mtu. Mungu akaamua kukurudishia heshima yako mtoto wa kiume akakutoa machungu na kukupa katrip ka USA, sasa kama unataka kumfanya Mungu mjinga rudiana na hilo gubeli uone cha moto, atakutenda zaidi ya hapo mwanzo.
Tena we mi nahisi umezubaa sana, yaani tangu 2006 mpaka leo bado hujapata demu mwingine na watoto wote wazuri namna hiyo mdogo wangu? Wapo watoto wengi tu wazuri sana, wasomi, na wenye maadili safi kabisa wanatafuta watu makini wa kuwaoa, ni suala la kutulia tu na kuwa makini bila kusahau kumwomba Mungu.
Nilikuwa na girl friend tangu 2002 hadi 2006. Tulipendana sana ingawa hatukuwa na kipato chochote maana tulikuwa wanafunzi, tulipohitimu form six mwenzangu alianza kubadilika kitabia na nilipomuuliza akawa anakana kabisa,ila mwisho wa siku mambo yakawa hadhalani ana uhusiano na mwanajeshi na ana mpango wa kumuoa! Nilimsihi nampenda tuvumilie tutakuwa na maisha yetu ila akakataa na akaniambia amisha mpenda mtu mwingine. Kwa kuwa huwa naamini mapenzi hayalazimishwi nikajipa moyo na kusonga mbele! Mungu si athumani akanijalia nikapata chuo USA nikawa nimeondoka tz hivo machungu sikuyapata sana maana nikawa niko mbali hata simuoni anavyofurahia penzi lake jipya! Ni miaka minne sasa imepita, nilishtuka sana juzi baada ya kuona sms yake kwenye simu yangu ikinisihi kumpigia! Sikusita nikampigia: kikubwa zaidi akawa ananiomba msamaha turudiane aliko hafurahii maisha! Wanajf! Mie huwa nina msimamo sana ktk maisha yangu, jibu nililompa ni kuwa asijisumbue kuomba msamaha maana sitamkubalia kabisa! Je nina kosa? Ukweli ni kuwa ninatafuta mchumba ila siko tayari kurudi nyuma kwa mtu alienitenda nataka kusonga mbele!!!