Ameniorodhoshea mahitaji mengi utafikiri mimi ni babaake

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.

Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.

1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
 
Amefanya hivyo akufukuze.....jiongeze Mkuu hutakiwi
 
Unatufanya tuonekane wote wabahiri wakati hatuko hivyo.
 
Huyu piga chini
 
Kama ana nyashi msakizie huyo mzigo mjomba nchumali
 
Wanawake wengi ni omba omba

 
Huyo chuma ulete aka Kausha damu ungemuitia geto kwanza ukamtindua Kisha unampa buku la boda
 
Dalali huyoopoo
+ na zakwakooooooo...
 
Alikutumia hiyo orodha ghafla au ulimwambia akupe mahitaji yake?

I mean mlikuwa mnachat mpaka akakutumia hiyo orodha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…