Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wengi wana hela bwana huyu ni kausha damuPole sana Man, uliopoa slayqueen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wana hela bwana huyu ni kausha damuPole sana Man, uliopoa slayqueen.
Asubuhi mlichat kuhusu nn? Maana hiyo screenshot yako inaonekana ni kama vile anakupatia descriptions za begi na price. Yani ni kama vile anajibu msg yakoTulichati asubuhi, alafu jioni akanitumia hiyo orodha
Asubuhi mlichat kuhusu nn? Maana hiyo screenshot yako inaonekana ni kama vile anakupatia descriptions za begi na price. Yani ni kama vile anajibu msg yako
Ata press order nyingine kubwa zaidi mwanamke yeyote anaetanguliza materials kama sababu ya kukupa penzi ni hakupendi infact anakuchukia mno ila hawezi kukwambiaMnaosema hampendi anamfukuza, hivi akipewa hivyo vitu atakataa?
Aisee unaona Mizinga hiyo? Kama VP nipe kadi ya chama😂 😂 😂 😂 😂
Me pia natumia hiii tech kufukuza ving'ang'aniziAmefanya hivyo akufukuze.....jiongeze Mkuu hutakiwi
Anapokea mpaka pale utakaposhindwa kumpa vingine atakavyoomba ndio unapigwa chini mazima [emoji23][emoji23][emoji23]Mnaosema hampendi anamfukuza, hivi akipewa hivyo vitu atakataa?
😂 😂 😂 😂 baki hukohukoAisee unaona Mizinga hiyo? Kama VP nipo kadi ya chama
Una tips au computer skills kidogo?Meaning
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.
Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.
1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
Swali zuri.Alikutumia hiyo orodha ghafla au ulimwambia akupe mahitaji yake?
I mean mlikuwa mnachat mpaka akakutumia hiyo orodha?
ChaiSwali zuri.
Usikute jamaa alimwambia sema chochote unachotaka nitakupa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapa point ni kwamba hivyo vitu anavitaka, eti kwamba hampendi anamkimbiza ni uongo!
🤣🤣🤣🤣 Ila kweli ujasiri wa kutaja vitu vyote hivyo kautoa wapi!Usikute jamaa alimwambia sema chochote unachotaka nitakupa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🙆Usikute jamaa alimwambia sema chochote unachotaka nitakupa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na kweli ujue wengine wanatoa lawama lkn wao ndio chanzo [emoji23]Usikute jamaa alimwambia sema chochote unachotaka nitakupa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]