Amenipa mdogo wake

Amenipa mdogo wake

Lyrics Master

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
479
Reaction score
670
Hii imekaa vipi wakuu!?

Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.

Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.

Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..

Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..

Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..

Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.

Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?

Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
 
Ww unataka kuoa au kucheua tu?¿?
Hii imekaa vipi wakuu!?

Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.

Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.

Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..

Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..

Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..

Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.

Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?

Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
 
mtego huo babu, anakupima imani kama una tamaa za bwana fisi na kama unamzimikia ile kabisa kabisa

mkazie mwambie unampenda yeye dada mtu na unataka tamu yake dada mtu, tuma yakutolea akufate.
Nimewaza kama wewe Mkuu, haka ni kamtego
 
Back
Top Bottom