Amenitelekeza hotelini, kisa sikwenda na salio la kumpatia

wanawake ni wauaji sa apo anataka aue kiumbe kina makosa gani? we kalia kuimba nani kama mama huenda nawe ulizaliwa kibahati mbaya,ile mimba kutaka kuchomolewa tu ikagoma ndo ukazaliwa
 
Mkuu kuwa makini yawezekana anatumia triki uyo kukupiga virungu ili ajipatie riziki kupitia wewe wadada wa siku hizi ni majinamizi kabsa kuwa makini
 
Fala mwingine huyu....
Swali; umeajiriwa na kampuni ya vinywaji vikali (pombe), wamekuja kwako kuomba ushauri kama mtu mbobezi wa masoko, wafanyeje fanyeje ili kwa siku mzigo wa kreti 10,000 uishe?

Toa jibu.​
 
wanawake ni wauaji sa apo anataka aue kiumbe kina makosa gani? we kalia kuimba nani kama mama huenda nawe ulizaliwa kibahati mbaya,ile mimba kutaka kuchomolewa tu ikagoma ndo ukazaliwa
Wapo wenye huruma, ila na vibwengo pia vipo, ndio kama huyu sasa.
 
Mkuu kuwa makini yawezekana anatumia triki uyo kukupiga virungu ili ajipatie riziki kupitia wewe wadada wa siku hizi ni majinamizi kabsa kuwa makini
Nadhani hilo ndilo litakuwa lengo lake
 
Mm naona kajiongeza kaona we ndio huelewek,Kwanza ushasema n mchepuko ina maana huna malengo naye we.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…