Ameondoka kisa nimemlazimisha mapenzi bila kibali maalumu kutoka kwa mchungaji

Ameondoka kisa nimemlazimisha mapenzi bila kibali maalumu kutoka kwa mchungaji

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Ananiletea sheria za kiwaki ambazo hata kwenye taurati hazipo. Eti kabla ya kufanya mapenzi ni lazima tukakate/ akakate kibali kutoka kwa Mchungaji wake ambacho kitakuwa na muda wa kuanza na kumaliza.

Ni wiki sasa nimevumilia hilo, akija na hicho kibali, mtapiga magoti muombe sana, muda ulioandikwa kwenye kibali ukiisha ndo mwisho wa tendo, kibali huwa kinakuja na muda usiozidi lisaa, baada ya hapo mtakemea kwa uovu mlioufanya ndani ya lisaa lizima kisha mashuka yote na nguo ulizozivaa siku hiyo zitakwenda kulowekwa kama sio kutupwa. Anafua sasa, mvivu kama nini!

Anakwambia cha asubuhi ni dhambi, kwamba huwezi anza siku kwa kumtukana Mola. Ameondoka asubuhi ya leo kisa nimemlazimisha cha asubuhi

Akienda church saa 10 unaambiwa anarudi saa 2 kasoro, yaani ni sawa ananiwahi dakika 10 tu kabla ya mimi kufika, ikifika saa 4 anakwambia anaenda kwenye mafunzo ya kanisa ya kinamama, hapo atarudi saa 7 usiku.

Halafu anakwambia tuhame mtaa kwa kuwa usiku anakutana na akina dada wanaojiuza, eti wanamwaribia utakatifu wake anaotoka nao kanisani, anasema tuhamie mtaa X

Je, huu ni uungwana?
 
CHAI
2cb39eba722b2e08516b9f0936cd6515.jpg
 
Wachungaji wanawashika akina mama akili Acha tu.

Unawez kuwa unamtumia mama yako hela ya kula yeye anampelekea mwamposa.

Hili tatizo kubwa
 
Ananiletea sheria za kiwaki ambazo hata kwenye taurati hazipo. Eti kabla ya kufanya mapenzi ni lazima tukakate/ akakate kibali kutoka kwa Mchungaji wake ambacho kitakuwa na muda wa kuanza na kumaliza. Ni wiki sasa nimevumilia hilo, akija na hicho kibali, mtapiga magoti muombe sana, muda ulioandikwa kwenye kibali ukiisha ndo mwisho wa tendo, kibali huwa kinakuja na muda usiozidi lisaa, baada ya hapo mtakemea kwa uovu mlioufanya ndani ya lisaa lizima kisha mashuka yote na nguo ulizozivaa siku hiyo zitakwenda kulowekwa kama sio kutupwa. Anafua sasa, mvivu kama nini!

Anakwambia cha asubuhi ni dhambi, kwamba huwezi anza siku kwa kumtukana Mola. Ameondoka asubuhi ya leo kisa nimemlazimisha cha asubuhi

Akienda church saa 10 unaambiwa anarudi saa 2 kasoro, yaani ni sawa ananiwahi dakika 10 tu kabla ya mimi kufika, ikifika saa 4 anakwambia anaenda kwenye mafunzo ya kanisa ya kinamama, hapo atarudi saa 7 usiku. Halafu anakwambia tuhame mtaa kwa kuwa usiku anakutana na akina dada wanaojiuza, eti wanamwaribia utakatifu wake anaotoka nao kanisani, anasema tuhamie mtaa X

Je, huu ni uungwana?
Umeoa mwehu achana naye haraka.
 
Maelezo hayajitoshelezi.
Ni mke wako wa ndoa? Sogea tukae? Au ni demu tu?.
Nahisi story ni chai, kama ni ya Kweli basi huyo mwanamke yupo kwenye cult, ndio kama wale waliofungishwa njaa mpaka kufa.
 
Ni unampenda sana au?

Mwanaume kama wewe umebaki peke yako sijui😄
 
Ananiletea sheria za kiwaki ambazo hata kwenye taurati hazipo. Eti kabla ya kufanya mapenzi ni lazima tukakate/ akakate kibali kutoka kwa Mchungaji wake ambacho kitakuwa na muda wa kuanza na kumaliza. Ni wiki sasa nimevumilia hilo, akija na hicho kibali, mtapiga magoti muombe sana, muda ulioandikwa kwenye kibali ukiisha ndo mwisho wa tendo, kibali huwa kinakuja na muda usiozidi lisaa, baada ya hapo mtakemea kwa uovu mlioufanya ndani ya lisaa lizima kisha mashuka yote na nguo ulizozivaa siku hiyo zitakwenda kulowekwa kama sio kutupwa. Anafua sasa, mvivu kama nini!

Anakwambia cha asubuhi ni dhambi, kwamba huwezi anza siku kwa kumtukana Mola. Ameondoka asubuhi ya leo kisa nimemlazimisha cha asubuhi

Akienda church saa 10 unaambiwa anarudi saa 2 kasoro, yaani ni sawa ananiwahi dakika 10 tu kabla ya mimi kufika, ikifika saa 4 anakwambia anaenda kwenye mafunzo ya kanisa ya kinamama, hapo atarudi saa 7 usiku. Halafu anakwambia tuhame mtaa kwa kuwa usiku anakutana na akina dada wanaojiuza, eti wanamwaribia utakatifu wake anaotoka nao kanisani, anasema tuhamie mtaa X

Je, huu ni uungwana?
Kibari si inaweza kutumwa kwa whatsapp
 
Ni unampenda sana au?

Mwanaume kama wewe umebaki peke yako sijui😄
Hapana mkuu sikumpenda kiivyo, ni vile tu nilijua nikipata kalokole keupe swaafi, nitaishi maisha mema na ya amani kuliko wadada wa Kidimbwi
 
Maelezo hayajitoshelezi.
Ni mke wako wa ndoa? Sogea tukae? Au ni demu tu?.
Nahisi story ni chai, kama ni ya Kweli basi huyo mwanamke yupo kwenye cult, ndio kama wale waliofungishwa njaa mpaka kufa.
Sio wa ndoa, ila nilikuwa na mpango wa kuoa kwa kuwa nilijua walokole ni wema sana na hawana dhambi hasa ya uzinzi

Kwa kuwa sijamvika pete, ndipo alipokuja na habari za mchungaji anataka tuwe tunakata vibali mpaka nitakapomuoa
 
Ananiletea sheria za kiwaki ambazo hata kwenye taurati hazipo. Eti kabla ya kufanya mapenzi ni lazima tukakate/ akakate kibali kutoka kwa Mchungaji wake ambacho kitakuwa na muda wa kuanza na kumaliza. Ni wiki sasa nimevumilia hilo, akija na hicho kibali, mtapiga magoti muombe sana, muda ulioandikwa kwenye kibali ukiisha ndo mwisho wa tendo, kibali huwa kinakuja na muda usiozidi lisaa, baada ya hapo mtakemea kwa uovu mlioufanya ndani ya lisaa lizima kisha mashuka yote na nguo ulizozivaa siku hiyo zitakwenda kulowekwa kama sio kutupwa. Anafua sasa, mvivu kama nini!

Anakwambia cha asubuhi ni dhambi, kwamba huwezi anza siku kwa kumtukana Mola. Ameondoka asubuhi ya leo kisa nimemlazimisha cha asubuhi

Akienda church saa 10 unaambiwa anarudi saa 2 kasoro, yaani ni sawa ananiwahi dakika 10 tu kabla ya mimi kufika, ikifika saa 4 anakwambia anaenda kwenye mafunzo ya kanisa ya kinamama, hapo atarudi saa 7 usiku. Halafu anakwambia tuhame mtaa kwa kuwa usiku anakutana na akina dada wanaojiuza, eti wanamwaribia utakatifu wake anaotoka nao kanisani, anasema tuhamie mtaa X

Je, huu ni uungwana?
Huyo anaenda kufanya ibada ya mizimu.

Usimrudishe kamwe maana atakuja kukumaliza kwa maelekezo ya mchungaji wake.
 
Back
Top Bottom