Mwakapesa II
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 554
- 915
Habari zenu!
Jamani naombeni msaada kuna mdogo wangu yupo kidato cha tano alipangiwa kusoma Temeke high school lakini alituma maombi ya uhamisho TAMISEMI kutokana na sababu fulani. Maombi yake yamekubaliwa na wamempangia shule ya Ifunda technical hivyo naomba msaada kwa anayefaham ilipo na usafiri wake/join instructrion na vitu vingine kwani sijui nianzie wapi. Tarehe ya mwisho kuwasili ni 30/7
Jamani naombeni msaada kuna mdogo wangu yupo kidato cha tano alipangiwa kusoma Temeke high school lakini alituma maombi ya uhamisho TAMISEMI kutokana na sababu fulani. Maombi yake yamekubaliwa na wamempangia shule ya Ifunda technical hivyo naomba msaada kwa anayefaham ilipo na usafiri wake/join instructrion na vitu vingine kwani sijui nianzie wapi. Tarehe ya mwisho kuwasili ni 30/7