stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Basi sawa mkuuHapana,bora kupima....joto la kumwagiwa ni very sweet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa mkuuHapana,bora kupima....joto la kumwagiwa ni very sweet
Yap si ndio wazee wa amphotericin B?Fungal Meningitis
Meningitis caused by fungi is rare, but people can get it by inhaling fungal spores from the environment. People with certain medical conditions, like diabetes, cancer, or HIV, are at higher risk of fungal meningitis.
Hakuna upande wa pili akusaidie kuisukumiaIvo yaan✌️
Kwaiyo ukifikia hatua ya ukichaa huponi tenaMara nyingi nimeshuhudia watu zaidi ya watatu walifariki baada ya kufikia hiyo harua ya ukichaa wa ukimwi
Je kama aliacha akitumia ataponaBila shaka aliacha kutumia ARV
Ukitumia ARV kisha uache wengi hupata fungus ya ubongo wanaishia kuwehuka na kufa kwa mateso jamani usiache kumeza dawa ni hatari kuliko kabla hujaanza kumeza ukianza usiache mpaka siku unakufa.Habar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Aaa,mapenz nishachoka nayo mkuuHakuna upande wa pili akusaidie kuisukumia
Mengitis inatibiwajeHio ni meningitis wadudu wameenda kwenye layer ya ubongo
Hapa lazma atibiwe mengitis na aendelee na dawa
Akichelewa TB na maheperzoster yamaanza nayo
Nati zishaharibika mkuuJe kama aliacha akitumia atapona
Wachache sana hupona wengi hufa maana fungus zinatafuna ubongoJe kama aliacha akitumia atapona
Sasa anaweza akapona kweli huyu ndugu yanguUkitumia ARV kisha uache wengi hupata fungus ya ubongo wanaishia kuwehuka na kufa kwa mateso jamani usiache kumeza dawa ni hatari kuliko kabla hujaanza kumeza ukianza usiache mpaka siku unakufa.
Basi Sawa mkuuAaa,mapenz nishachoka nayo mkuu
Inachukua mda gani Hadi umautiWachache sana hupona wengi hufa maana fungus zinatafuna ubongo
Fungus wameanza kubisha hodi kwenye ubongoWachache sana hupona wengi hufa maana fungus zinatafuna ubongo
Sasa si mpaka wamalize kutafuna ubongoInachukua mda gani Hadi umauti
Pamoja✌️Basi Sawa mkuu
Pamoja mkuuPamoja✌️