Amepatwa na ukichaa, inasemekana ana UKIMWI

Amepatwa na ukichaa, inasemekana ana UKIMWI

Habar wakuu msaada wenu tafadhali.

Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.

Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.

Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu

Inawezekana kabisa ukichaa wakati mwingine ni kushindwa tu kuhimili changamoto, matatizo yanayokuzunguka. Ushauri, mazingira sahihi, dawa sahihi vitamsaidia kurudi kwenye hali yake.
 
I remember those days tupo intern my colleague aliua mtu kwa bahati mbaya
Pt presented with mental deficits & hallucinations
Jamaa akadiagnose Severe malaria akaintervene na anti malaria
Pt died
kumbe alikua kama huyo sero converted
COD ; CRYPTOCOCCAL MENINGITIS
 
Umeshtuka kama mimi? Aisee ngoma sio ya kupuuzwa hata kidogo, now naogopa ngono kabisa yani.
Nadhani wewe huogopi mkuu😃😃.. Huu ugonjwa usikie tu kwa watu, tena omba sana Mungu usiingie kwenye ukoo wenu maana nahisi inakuwaga kama laana sijui, kuna baadhi ya watu karibu familia nzima unaskia za chinichini kua wameungua
 
Habar wakuu msaada wenu tafadhali.

Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.

Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.

Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Huyu ni mzabzab ndio maana hapatikani JF sasa.
 
Back
Top Bottom