stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mbona uneguna?Mmnh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona uneguna?Mmnh
Nimejikuta tu naogopa hapaMbona uneguna?
Kuogopa wakati mmemwagiwa Trillion 1.4 unaogopa nini? Kula mbaazi?Nimejikuta tu naogopa hapa
Hicho kibarua sio kidogo my friend.. Kwa Hali ilivyo sasa huko nje Bora kuendelea tu Kua singleKuogopa wakati mmemwagiwa Trillion 1.4 unaogopa nini? Kula mbaazi?
Umeshtuka kama mimi? Aisee ngoma sio ya kupuuzwa hata kidogo, now naogopa ngono kabisa yani.Mmnh
Wewe bado upo Single? Au nimesoma vibaya?Hicho kibarua sio kidogo my friend.. Kwa Hali ilivyo sasa huko nje Bora kuendelea tu Kua single
Habar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Nadhani wewe huogopi mkuu😃😃.. Huu ugonjwa usikie tu kwa watu, tena omba sana Mungu usiingie kwenye ukoo wenu maana nahisi inakuwaga kama laana sijui, kuna baadhi ya watu karibu familia nzima unaskia za chinichini kua wameunguaUmeshtuka kama mimi? Aisee ngoma sio ya kupuuzwa hata kidogo, now naogopa ngono kabisa yani.
Ndo ulichokiona. Muona😃😃Wewe bado upo Single? Au nimesoma vibaya?
Ndio macho yameona pale kwenye Single? Sijaamini nikauliza Ila sio kwa ubaya mkuu my furendNdo ulichokiona. Muona😃😃
Huyu ni mzabzab ndio maana hapatikani JF sasa.Habar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Am not single ☺️☺️Ndio macho yameona pale kwenye Single? Sijaamini nikauliza Ila sio kwa ubaya mkuu my furend
🤣🤣🤣 Babron Singers au Zabron Singers?Am not single ☺️☺️
Haya sawa mkuu, hivyo ndio inavyotakiwaNa kweli haikua rahisi hadi kumpata😃😃🤗
Toka lini mie nikawa wa kike jameniHuyu ni mzabzab ndio maana hapatikani JF sasa.