BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Hivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na madhara kwake kiroho au kiuhalisia Directly au indirectly
Ni bora angeomba ushauri mtandaoni kabla ya kuchoma na kuonesha mtandaoni
Au angerudisha tu Huko aliko litoa sio mbaya.
Tatizo ni mtu anaependa sana attention na Ana kiburi
Kuaribu mali?
Kwa mikono yake!!
Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na madhara kwake kiroho au kiuhalisia Directly au indirectly
Ni bora angeomba ushauri mtandaoni kabla ya kuchoma na kuonesha mtandaoni
Au angerudisha tu Huko aliko litoa sio mbaya.
Tatizo ni mtu anaependa sana attention na Ana kiburi
Kuaribu mali?
Kwa mikono yake!!
Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake