BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Hakika... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kumrudishia ndio sahihiBora angemrudishia aliyempa, ila kutakuwa na jambo Ulimwengu wa roho linaendelea
Bure is expensive. Wengi hawatamwelewa huyo kijana kwasababu mnamwamini sana huyo aliyetoa hilo gari. Siri anayo mwenyewe hivyo msishangae.Hivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na madhara kwake kiroho au kiuhalisia Directly au indirectly
Ni bora angeomba ushauri mtandaoni kabla ya kuchoma na kuonesha mtandaoni
Au angerudisha tu Huko aliko litoa sio mbaya.
Tatizo ni mtu anaependa sana attention na Ana kiburi
Kuaribu mali?
Kwa mikono yake!!
Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Gari ni mali Yake na anahaki ya kulifanyia chochote ilimradi hajavunja Sheria.Punguza Shobo zisizo na msingi..Yaani Kwa kauli yako "Gali Kali" utaolewaHivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na madhara kwake kiroho au kiuhalisia Directly au indirectly
Ni bora angeomba ushauri mtandaoni kabla ya kuchoma na kuonesha mtandaoni
Au angerudisha tu Huko aliko litoa sio mbaya.
Tatizo ni mtu anaependa sana attention na Ana kiburi
Kuaribu mali?
Kwa mikono yake!!
Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Amelitumia kuanzia 2021,kiuhasibu hyo gari imeshafika level ya disposable value ndo anaichoma.
Pia somaHivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na madhara kwake kiroho au kiuhalisia Directly au indirectly
Ni bora angeomba ushauri mtandaoni kabla ya kuchoma na kuonesha mtandaoni
Au angerudisha tu Huko aliko litoa sio mbaya.
Tatizo ni mtu anaependa sana attention na Ana kiburi
Kuaribu mali?
Kwa mikono yake!!
Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Wengi mnapuyanga tu bila kujua chochote kuhusu jinai ya kuharibu mali. Haijalishi ni ya kwako ama ya mtu mwingine.Gari ni mali Yake na anahaki ya kulifanyia chochote ilimradi hajavunja Sheria.Punguza Shobo zisizo na msingi..Yaani Kwa kauli yako "Gali Kali" utaolewa
Hapo kwenye Sheria, tayari ana kosa la kujibu. Shtaka lake ni Kosa la Uharibifu wa Mali. Ni vile tuu sio Mwanachadema Maarufu.Gari ni mali Yake na anahaki ya kulifanyia chochote ilimradi hajavunja Sheria.Punguza Shobo zisizo na msingi..Yaani Kwa kauli yako "Gali Kali" utaolewa