America Embassy, on the issue of the corona virus, you are puting your knees on our necks we can't breath

America Embassy, on the issue of the corona virus, you are puting your knees on our necks we can't breath

We respect the United States, It is a great country, it is a great development partner but we would humbly want to tell it that it is now behaving like a bully on us!. Please stop this behaviour

We know that America is the country most affected with the corona virus in the world and we trust information given by its authorities, why now the embassy is behaving arrogantly in our country disregarding all norms of diplomacy and making up information, spreading fear about the extent of the spread of the virus in our country?

This nasty arrogant behaviour has been going on day after day and honestly we the people of Tanzania feel as if now the embassy has decided to put the knee of misinformation on our neck!

The American embassy should know that no matter how inefficiently it thinks we managed this pandemic, no matter how much it doesn't trust our government, the truth is vividly clear, we were not hit hard as initially thought by WHO and other "deaths speculators".

We didn't do more than other countries, But we did put our nation before GOD the creator whom the United States says it is under, We took necessary measures such as using sanitizers, washing hands frequently, kept distances when we could, we used our own traditional healing practices passed to us by our ancestors and GOD has delivered us!

So please, I call upon you The American Embassy in Dar es salaam, stop behaving arrogantly in our country!. Why dont you work with our authorities to get a clear picture of what is going on instead of everyday puting out these press realeases giving out information which is not backed up with data?

USA Embassy in Tanzania, you are hurting us economically, please remove this knee from our neck we can't breath!

Africa and Tanzania first!
Unaona..huu ndio ule ule ujinga tunaendekeza kama nchi

Tunafanya upumbavu dealing with corona.....serious nations zinakataa these incompetencies,then tunaanza kulia wanatuonea!

Typical stupid and ignorant kid

Please,lets not lea lea these incompetencies from our leadership class...

Kenya,Uganda,Rwanda,etc wanatuzidi in combating this pandemic,na actions zao ni very serious and professional...sio hapa eti "twende tukasali"...halafu eti "tunywe malimao"...."tufunge tusali"....yaani stupidity ya hali ya ajabu sana!
 
Kuna takataka zingine humu piga tofari. Huyu Bia , Kawe etc niliwa- block, sitaki kusoma takataka zao au/kujibu post zangu
Wewe ni mjinga sana hasa zinapokuja thread za English huwa huzisomi unakimbilia tu kucomment upuuzi ili mradi umeona neno moja unalojua .

Rudi shule
 
Mama balozi na Makonda ugomvi wao ushakuwa personal.

Makonda leo indirectly bila kutaja jina la mtu wala nchi kasema hakujuwa kama wazungu ni watu wa majungu na wachawi mbona awasemi hospitali gani iliyozidiwa wagonjwa wa COVID ivyo basi waandishi wa habari nao wawe wanaenda uliza habari zinapotoka ni wapi huko kuliko zidiwa waende kuthibitisha kama kweli yanayosemwa.

Vinginevyo mtu yeyote anaetoa kauli hiyo bila ya ushahidi wapi kuliko zidiwa hili watu wakajionee achukuliwe kama tahahira tu.

Muda mchache baada ya Mkuu wa mkoa kumaliza kuongea na watu wa Dar, US Embassy wakatoa another COVID 19 alert. My take kuna beef kati ya bibi wa kimarekani na Mkuu wa mkoa.
Huo ni ujinga wako na Makonda,yaani Makonda aweke bifu na Balozi wa Marekani?
 
Sasa ule msemo wa NIGUSE NINUKE ndo unafanya kazi huku ubalozini prof kala maganda kanyuti
 
Kumbe na wewe ni wale wale niliokuwa nawaamini. The general public inapata taarifa kutokana na mwongozo wa WHO ambayo inakata (siyo lazima) nchi kuchapisha coronavirus/covid-19 trend periodically. Sasa Ni mwezi hawajapata taarifa kama ilivyokuwa zamani. Na wamesema hatujachapisha trend ya infecton/death/testing etc. Kwa mantiki hiyo wakawa explicity kuwa , epidemiologically wanaamini/most likely/most probably kuna circulating infection around as long as hakuna vaccine au tiba.
Wamekosea wapi?
Swadakta !
 
Huo ni ujinga wako na Makonda,yaani Makonda aweke bifu na Balozi wa Marekani?
7F6DA1EF-54CF-4EE3-BDD8-386F7D27DE73.jpeg


Mara baada ya Makonda kumaliza kuongea this followed 👇 (sasa kasikilize alisema nini).
1DF1B6B9-7A63-4B5D-BB12-C464C03578A9.jpeg


Check the timing maana kiazi kama wewe unaweza usione zote hizo zimetoka in the past six hours.

If you know anything about international politics considering the timing this could be translated as a response especially with US politics its part of their culture.

Tatizo lenu ni kujifanya wajuaji hata kusoma dunia inazunguka vipi muwavivu.
 
Unaona..huu ndio ule ule ujinga tunaendekeza kama nchi

Tunafanya upumbavu dealing with corona.....serious nations zinakataa these incompetencies,then tunaanza kulia wanatuonea!

Typical stupid and ignorant kid

Please,lets not lea lea these incompetencies from our leadership class...

Kenya,Uganda,Rwanda,etc wanatuzidi in combating this pandemic,na actions zao ni very serious and professional...sio hapa eti "twende tukasali"...halafu eti "tunywe malimao"...."tufunge tusali"....yaani stupidity ya hali ya ajabu sana!

Ubalozi hauwezi kusema kuna maambukizi mengi dar halafu wakati huohuo unataka serikali itoe data.

Kama Data hawana je walijuaje kama kuna maambukizi mengi?

Wanasambaza rumours tu bila ushahidi!

Au tuwaulize, walijuaje kuna maambukizi mengi dar, Je wao wameendesha zoezi la kupima watu wakaliona hilo, au wanaongozwa na hisia kwa kudhani tu kuwa hawa masikini lazima watakuwa wanaugua sana tu?
 
Naona mods wameuficha uzi wangu huku chobingo kabisa. Sijui nao wanaungana na hawa wamarekani wenye kutoa manotifications kila siku kudai kuwa Corona bongo iko nyingi?.
Hii minotifications inatuumiza sisi kama Taifa, inascare watalii na investors na wafanyabiashara.
Kama kuna uzi hawa Mods walipaswa waufanye sticky kwa ajili ya faida ya nchi yao ni huu.
Kwenye mambo ya maslahi kwa nchi yetu tuwe wazalendo, tusikubali watu watudefine bali tujidefine sisi wenyewe!

Huu ubalozi ulikuwa unaelekea kututia vidole vya macho, ilipaswa na inapaswa kuwaambia ukweli!
 
Ubalozi hauwezi kusema kuna maambukizi mengi dar halafu wakati huohuo unataka serikali itoe data.

Kama Data hawana je walijuaje kama kuna maambukizi mengi?

Wanasambaza rumours tu bila ushahidi!

Au tuwaulize, walijuaje kuna maambukizi mengi dar, Je wao wameendesha zoezi la kupima watu wakaliona hilo, au wanaongozwa na hisia kwa kudhani tu kuwa hawa masikini lazima watakuwa wanaugua sana tu?
Blah blah blah

Hupimi,hutoi takwimu,then dunia i-assume maambukizi yanashuka eti sababu hakuna takwimu?

Mbwa nyie!
 
Wacha uchizi...mbona watu sisi tuna matatizo? hata kama kaandika alichoandika,,lakini kaeleweka vizuri tu...hivi kuna wangapi wanaandika Uzi au comments kwa kiswahili ambacho siyo fluent? Lini umetia neno kwa hilo?wacha ushamba....kingereza ni lugha kama zingine,,muhimu ni kuelewana na sio mambo ya grammar.... This is not a class...this is jf....you are nothing but piece of shit...
Yani hujui JF ni darasa tosha,let me break it down for you little girl,Jf is a class where we teach mentally retarded individuals with low IQ like yours.Now stop whining like a b%#h and pay attention to the lecture.
 
Wacha uchizi...mbona watu sisi tuna matatizo? hata kama kaandika alichoandika,,lakini kaeleweka vizuri tu...hivi kuna wangapi wanaandika Uzi au comments kwa kiswahili ambacho siyo fluent? Lini umetia neno kwa hilo?wacha ushamba....kingereza ni lugha kama zingine,,muhimu ni kuelewana na sio mambo ya grammar.... This is not a class...this is jf....you are nothing but piece of shit...
Umenena
 
Yani hujui JF ni darasa tosha,let me break it down for you little girl,Jf is a class where we teach mentally retarded individuals with low IQ like yours.Now stop whining like a b%#h and pay attention to the lecture.
Sasa ngoja nikupe elimu ya bure kutoka kwangu Mimi ABLE SEAMAN.... kwanza kiswahili hujuwi..na hata hiyo English pia hujuwi...umekalia kuwahi kujifunza kunyonya DUSHE badala ya kujikita kujifunza kuwakatikia mauno wanaume wenzio....neno yani ...ni kosa la kwnz...kiswahili fasaha ni YAANI....kosa la pili ..not little girl...ni a little girl..kosa la tatu ..not we teach mentally.. Ni we teach a mentally.... Kosa la nne ..not with low IQ... Ni with a low IQ... mpunga mpya wewe...jifunze kwanza style za kufanywa..usikimbilie kujuwa kunyonya DUSHE.... You are nothing but a piece of shit...
 
kweli mkuu huyu jamaa ni maga shit
Wacha uchizi...mbona watu sisi tuna matatizo? hata kama kaandika alichoandika,,lakini kaeleweka vizuri tu...hivi kuna wangapi wanaandika Uzi au comments kwa kiswahili ambacho siyo fluent? Lini umetia neno kwa hilo?wacha ushamba....kingereza ni lugha kama zingine,,muhimu ni kuelewana na sio mambo ya grammar.... This is not a class...this is jf....you are nothing but piece of shit...
 
kweli mkuu huyu jamaa ni maga shit
Sana mkuu,,,anajifanya anajuwa kingereza kumbe anaongea takataka tupu...hivi inakuwaje mtu kumkosoa mwingine wazi wazi kwa lugha ambayo sio yetu? Ajabu sn....mtu kafungua Uzi tena muhimu kabisa,,kaongea lugha nzr ya bekham...anaanza kumkosoa,,
 
Sana mkuu,,,anajifanya anajuwa kingereza kumbe anaongea takataka tupu...hivi inakuwaje mtu kumkosoa mwingine wazi wazi kwa lugha ambayo sio yetu? Ajabu sn....mtu kafungua Uzi tena muhimu kabisa,,kaongea lugha nzr ya bekham...anaanza kumkosoa,,
ni wivu tu wabongo ...unatusumbua
kama ww umesoma kwa mtogole...haujui hata chakuombea maji.....kwanini usiridhike na hali yako



tunapenda sna ku....shushuna chini na kutiana dosari.....hio inaonesha ni kiasi gan sisi ni wachawi
 
Kweli mkuu,,ila nimeshampa dawa yake kubwa kuliko,,atakutana nayo akija online.....yaani ni mtu wa ajabu hajawahi kutokea tangu jf ianzishwe.,
ni wivu tu wabongo ...unatusumbua
kama ww umesoma kwa mtogole...haujui hata chakuombea maji.....kwanini usiridhike na hali yako



tunapenda sna ku....shushuna chini na kutiana dosari.....hio inaonesha ni kiasi gan sisi ni wachawi
 
Kweli mkuu,,ila nimeshampa dawa yake kubwa kuliko,,atakutana nayo akija online.....yaani ni mtu wa ajabu hajawahi kutokea tangu jf ianzishwe.,
we ngoja ...atabadili id kama yule aliekua anajiita jina la dawa moja hivi antibiotic...inaishia ....mycine .
 
we ngoja ...atabadili id kama yule aliekua anajiita jina la dawa moja hivi antibiotic...inaishia ....mycine .
Ha ha ha ,,mkuu ,,Duu..ngoja tuone mkuu,, pengine atakuja kivingine maana hawashindwi..hawa jamii ya akina James delicious wana vituko sana...wacha tuone mkuu..akirejea....
 
😎 Where on the moon did you learn writing?
Writing
Sasa ngoja nikupe elimu ya bure kutoka kwangu Mimi ABLE SEAMAN.... kwanza kiswahili hujuwi..na hata hiyo English pia hujuwi...umekalia kuwahi kujifunza kunyonya DUSHE badala ya kujikita kujifunza kuwakatikia mauno wanaume wenzio....neno yani ...ni kosa la kwnz...kiswahili fasaha ni YAANI....kosa la pili ..not little girl...ni a little girl..kosa la tatu ..not we teach mentally.. Ni we teach a mentally.... Kosa la nne ..not with low IQ... Ni with a low IQ... mpunga mpya wewe...jifunze kwanza style za kufanywa..usikimbilie kujuwa kunyonya DUSHE.... You are nothing but a piece of shit...
Ndio
Sasa ngoja nikupe elimu ya bure kutoka kwangu Mimi ABLE SEAMAN.... kwanza kiswahili hujuwi..na hata hiyo English pia hujuwi...umekalia kuwahi kujifunza kunyonya DUSHE badala ya kujikita kujifunza kuwakatikia mauno wanaume wenzio....neno yani ...ni kosa la kwnz...kiswahili fasaha ni YAANI....kosa la pili ..not little girl...ni a little girl..kosa la tatu ..not we teach mentally.. Ni we teach a mentally.... Kosa la nne ..not with low IQ... Ni with a low IQ... mpunga mpya wewe...jifunze kwanza style za kufanywa..usikimbilie kujuwa kunyonya DUSHE.... You are nothing but a piece of shit...
Dumb as a rock,ndio umeandika nini sasa?stop whining like a little b*tch..ungekuwa karibu ningekupa makofi matatu ili akili yako ikae sawa,usirudie kuleta kiingereza chako cha bongo movie tena,kosa la kutokwenda shule ni la wazazi wako mama
 
Back
Top Bottom