Nsera Ndawani
Senior Member
- May 5, 2013
- 136
- 38
samahani sana
Nina shida ya uelewa kwenye jambo fulani.
Nina imani kwa kupitia kwenye hili jukwaa letu tukufu. Ambalo limesheheni mitazamo iliyo na upeo wa kutosha, ninaweza nikapata ufumbuzi.
Kwa sasa wataalam wanasema kuwa uchumi wa china unakaribia kuifikia nchi ya marekani. Na inasadikika kuwa marekani imekopa fedha nyingi sana kutoka china.
Na nchi ya china sarafu yake inaitwa Yuan ambayo inatumika pale china tuu. Lakini marekani sarafu yake ni Dollar na hii inatumika duniani kote. Sasa swali langu
Ni kwa nini marekani wanashindwa kutengeneza dollar nyingi na kuziuza na wakajipatia mahitaji yao yote?
Jee ni kitu gani marekani wanachokopa china? Ninaamini kuwa siyo tekinolojia.
Nina amini nitapata ushirikiano wa kutosha
Nina shida ya uelewa kwenye jambo fulani.
Nina imani kwa kupitia kwenye hili jukwaa letu tukufu. Ambalo limesheheni mitazamo iliyo na upeo wa kutosha, ninaweza nikapata ufumbuzi.
Kwa sasa wataalam wanasema kuwa uchumi wa china unakaribia kuifikia nchi ya marekani. Na inasadikika kuwa marekani imekopa fedha nyingi sana kutoka china.
Na nchi ya china sarafu yake inaitwa Yuan ambayo inatumika pale china tuu. Lakini marekani sarafu yake ni Dollar na hii inatumika duniani kote. Sasa swali langu
Ni kwa nini marekani wanashindwa kutengeneza dollar nyingi na kuziuza na wakajipatia mahitaji yao yote?
Jee ni kitu gani marekani wanachokopa china? Ninaamini kuwa siyo tekinolojia.
Nina amini nitapata ushirikiano wa kutosha