American billionaire Victoria Mars in Kenya for $70 million factory in Nairobi


Umesema hoja nzuri ya kujali mazingira. Lakini kumbuka hizo jojo tayari ziko nyumbani kabla hii kampuni kujengwa.
Natumai nchi zitafuatilia hiyo hoja yako ya kufikiria mazingira. Najuwa nchi ya Singapore huko kula jojo yeyote ni hatia kisheria, zimepigwa marufuka kabisa na nchi nayo iko safi kabisa. Nimefurahi kusikia ukitaja masilahi ya ndege, sio watu wengi hufikiria ndege wakifikiria mazingira 😉
 
While Kenya is building these kinds factories, in some other country a juice blender is hailed as a factory. Tafakari hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…