American RnB super Star Chris Brow jets to Kenya

American RnB super Star Chris Brow jets to Kenya

kuwa mpole wewe...hivi hamjawahi andaa tamasha mkaleta wasanii kutoka nje na wenu wakakua curtain raisers
Mbona kawaida tu boss, hapa bongo wameshapiga show kina jay z, Bennie man, brick & Lace, Michael Jackson, na wengine kibao,
Ni jambo la kawaida sana na sioni jipya hapo
 
Duh itakua show ya kufa mtu, vipi team Mondi lazima mtachukia maana Kiba ndo kaalikwa. Halafu wataishi kwenye English Point Marina picha yake chini hapa. Yaani Kiba kajituma sana jamaa, miaka yote hii bado star, amedumisha kwa muda mrefu.

english-point-marina11.jpg
Jamaaa ona hata aibu basii akii.. Kiba yupo tang 2003 kwa mziki ila ni majuzi ndo amepata Chance ya ku perform na Chris Brown asee..

Diamond hata miaka 10 bado ila amesha perform na Rick Ross, Nick Minaj, Chris Brown, Drake, Ne-Yo and soso on the BET AWARDS [emoji23] [emoji23] na ilikuw kawaida tu mzee team Mondi hawakuchonga saana coz ilikuw normal tu.. Na hyo show niliona Kiba alikuw Dooorooo aaiih watu walikuw wanatamani tu Chris Brown au Wizkid apande kwa Steji..

Kuhusu kuendelea kubak kuw star hata Remi Ongala leo hii Marehem ila bado star
 
Mbona kawaida tu boss, hapa bongo wameshapiga show kina jay z, Bennie man, brick & Lace, Michael Jackson, na wengine kibao,
Ni jambo la kawaida sana na sioni jipya hapo
hujanielewa... nimesema hao wasanii watz hawakuurtain raise apo?sijasema hawajaja.mwenzako amesema tunafagilia wasanii wanje huku wetu wakiwa nyumanyuma
 
Back
Top Bottom