ninarafiki yangu ameishia form four na alipata division two ya point 18 lakin kutokana na matatzo ya kifamilia alishindwa kuendelea na advance,mwaka huu alichaguliwa kujiunga na chuo cha utabibu tandabui mwanza,lakin chakusikitisha hakufanikiwa kwenda coz ya ada.mwenye mawazo yeyote yanayoweza kumsaidia kimawazo na hata katika yeyote ile plz tunaomba mawazo yako ndugu zangu,!