Ametoka kufanya mapenzi na Mwanaume mwingine? Angalia unavyoweza kumtambua

Sasa Mkuu kama ni member wa chaputa bado atakuwa na huo utoko?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah, sasa unataka mabinti wasiwe wananyoa, hii nayo kali! Umesikia tunaishi na Wachina sisi!?
 
haki wa yote ni simu yake tu.usipo zimia basi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
reseach mara zote hupingwa na reseach hivyo sijamuaminisha mtu aamini...
 
kweli...enh...ila inauma zaidi mtu afumui vya wenzake lakini vyakwake vinafumuliwa...inauma sana
 
Hiyo namba 3 umeamua kutuletea experience toka kwa mwanamke wako unataka wote waishi kama muishivyo ninyi?
Upo sahihi mzee, nakuunga mkono, yan anataka kutuaminisha kitu ambacho sio sahihi, kwan lazima mwanake ajinyoe akiwa ktk hedhi? Au ume experience wanawake wenye mavumbi muda wote....??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…