To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sad ☹️Mfuko wako ukituna haki yako unapata bila hata shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sad ☹️Mfuko wako ukituna haki yako unapata bila hata shida.
Bashite kama Bashite mimi nimebaki ndugu mtazamaji tu kwa mbali kwenye kaa kona.Kuhusu kumhurumia bashite 🥴
Usihuzunike tafuta tu pesa mpaka zikukimbieSad ☹️
AminaUsihuzunike tafuta tu pesa mpaka zikukimbie
😂😂😂 huo ni uovu mkuu...unanikosea sanaBashite kama Bashite mimi nimebaki ndugu mtazamaji tu kwa mbali kwenye kaa kona.
Moyo wa mtu kichaka siwezi juu wewe na Bashite nini kinaendelea
😂😂😂 huo ni uovu mkuu...unanikosea sana
That's it sasa mtu anakupa tips na bado unamtaka amlete eti mtu aliyeshudia, kazi ya upelelezi ni nini? Nyenzo wanapewa elimu wanapewa zaidi ya yote umepewa na tips, hawa askari noma sana.Hao wapelelezi kwenye vituo vya polisi mi naonaga ni wamchongo tu.....si professional na hawapo kwa ajili ya kazi bali pesa mbele
Nazani tatizo liko kwenye budget, kuna vituo vingine vinajiendesha vyenyewe,ndiyo maana huwa wanataka uchangie kiasi flani cha pesa, labda utaambiwa weka mafuta kwa defender ili akakamatwe muhalifu wako! Kitaalamu tunasema unachangia uchakavu,au tunagawana umasikini!!Askari wa siku hizi wamekuwa wazembe , hawataki kufanya majukumu Yao kabisa, sasa kazi ya kumkamata muhalifu ni ya raia au Askari?
Pamoja na maelezo mazuri,kuna tatizo sehemu.Wakutane tu na kuanza kuzozana bila chanzo?Kuua ni kosa.Wauaji wasakwe.Tarehe 24/01/2024 Ndugu Hamis Athumani Mkazi wa eneo la Mashamba Pori, Kibaha Mkoani Pwani aliuliwa kwa kupigwa na machepe.
Siku ya tukio Marehemu alikuwa nyumbani kwake eneo la Mashamba Pori akapigiwa simu katika simu yake no. 0654281507, akaelekezwa aende eneo la Pangani ambalo ni kama Kilometa 4 kutoka nyumbani, alifanya hivyo kwa kuwa waliomuita ni watu anaofahamiana nao na anafanya nao kazi hasa za vibarua.
Alipofika eneo hilo la Pangani akawakuta Watu nane wakati huo tayari kulikuwa na Viroba nane vya kokoto pembeni, yasemeka walianza kuzozana huku watu hao wakimtaka atoe Shilingi Laki Tano ambayo hakuwa nayo na akawasihi wasimshambulie huku akidai mfukoni ana Sh 50,000 tu.
Akawasisitiza kuwa kama wanataka hizo Laki Tano wampigie simu Mama yake kwa simu yake ambayo walikuwa wameshamnyang'anya lakini hata hivyo walikataa na kumshambulia hadi kufa.
Watu walivyoanza kujitokeza baada ya kusikia purukushani, wale jamaa wakadai Hamis ni mwizi wa Kokoto na wamemkuta anaiba, Wananchi kusikia hivyo wakiwemo Bodaboda wakatoa Petrol kwenye Pikipiki zao na kuanza kumbabua kwa Moto.
Mwili Marehemu ulikaa hapo kuanzia alivyouliwa Saa 4 Asubuhi hadi Saa Tisa Alasiri ndipo Askari Polisi wa Wilaya ya Kibaha walipofika eneo hilo kuchukua Mwili na kuupeleka Mochwari.
Jambo la kushangaza kesi iliyofunguliwa hapo Kibaha ni kosa la kujeruhi KBH/IR/333/2024 ya tarehe 24/01/2024, Mpelelezi SGT Ombeni wa Ofisi ya OC CID Kibaha na Mkaguzi wa tukio hilo alikuwa Insp Peter wa Kituo cha Polisi Kibaha.
Kaka wa Marehemu Salehe Athumani mwenye simu namba 0712249269 alifika baada ya kupata taarifa na alikabidhiwa mwili wa ndugu yake tarehe 25/01/2024 na Mpelelezi SGT Ombeni kwa ajili ya kwenda kumhifadhi mpendwa wao.
Baada ya hapo alianza kufuatilia ikiwa ni pamoja na kufika nyumbani kwa Marehemu ambapo alipata taarifa nyingi kuhusiana na kifo cha mdogo wake na kukugundua kuwa hakua mwizi bali kulikuwa na visa vya wivu.
Akaenda hadi Kituo cha Polisi Kibaha kumuona Mpelelezi SGT Ombeni na baada ya kumuekeza yote kuhusiana na kifo cha Mdogo wake pamoja na kutaja hadi majina ya washukiwa waliomuua mdogo wake kuwa ni Watu ambao walikuwa wakishikiana kwenye kazi mbalimbali kwa kuwa marehemu alikuwa Fundi na wauaji mara nyingi walikua wasaidizi wake.
Licha ya maelezo yote hayo bado Mpelelezi SGT Ombeni alimuelekeza aende akawalete Watu walioshudia wakati wanamuua Mdogo wake lakini hata kabla ya hapo kuna mtu alielekezwa aende akaandike maelezo alichoshuhudia lakini inadaiwa baada ya hapa alitakiwa kutorudi tena pale kituoni na wala kutoeleza alichoongea kule Polisi.
SGT Ombeni akamuelekeza kaka wa marehemu kwenda kwa OC CID, akafanya hivyo kwa kwenda kwa Mkuu wa Upelelezi, akamueleza kila kitu anachokijua na kumtajia majina ya washukiwa wa mauaji, nae akamwambia aondoke akatafute shuhuda wa tukio ambaye yupo tayari kutoa maelezo.
Kufikia hatua hiyo ndugu wa marehemu hakuwa na la kufanya tena zaidi ya kutafuta usafiri wa kurudi Kijijini kwake Makanya Wilaya ya Same.
Hilo ndio Jeshi la Polisi Tanzania.
Kweli eee na nikweli ndiye aliongoza oparesheni kule kibiti akina azory pengine wapo au wali disiapia0699998899 mpigie IGP now atakusikiliza na ni moja kati ya mapolisi wenye utu na ubinadamu.
[emoji419][emoji419][emoji375]Mapolisi sijui kutenda haki walikatazwa?